mbona sijaona sehemu unayoweka nyanya, I mean wakati gani utatakiwa uweke nyanya?mkate kuku vipande, andaa vituguu maji, chumvi,mafuta, nazi, nyanya na maji.
chemsha mafuta kidogo yakisha chemka tia nyama yako ikichemka na kubadilika rangi weka vitunguu, karoti kisha nyanya na chumvi. mchanganyiko ukikolea na kuku wako kuiva tia tui la nazi na usifunike. baada ya nusu saa makange yatakakua tayari. hiyo ni kigetto getto. mia
Naomba msaada wandugu.
ahaaa acha kumdanganya bwanamkate kuku vipande, andaa vituguu maji, chumvi,mafuta, nazi, nyanya na maji.
chemsha mafuta kidogo yakisha chemka tia nyama yako ikichemka na kubadilika rangi weka vitunguu, karoti kisha nyanya na chumvi. mchanganyiko ukikolea na kuku wako kuiva tia tui la nazi na usifunike. baada ya nusu saa makange yatakakua tayari. hiyo ni kigetto getto. mia
ahaaa acha kumdanganya bwana
haki ya Mungu tena, unafikiri nimemdanganya?. huo ndo ukweli. ajaribu aone.
Kama vipi tusaidie uhuavyo wewe tuone. mia
mkate kuku vipande, andaa vituguu maji, chumvi,mafuta, nazi, nyanya na maji.
chemsha mafuta kidogo yakisha chemka tia nyama yako ikichemka na kubadilika rangi weka vitunguu, karoti kisha nyanya na chumvi. mchanganyiko ukikolea na kuku wako kuiva tia tui la nazi na usifunike. baada ya nusu saa makange yatakakua tayari. hiyo ni kigetto getto. mia
sasa nazi ya nini hapo?
kwa msaada zaidi kawaona machef wa rose garden!
Makange ndo nini?
sasa nazi ya nini hapo?
Lol. Hii ni chuzi la kuku bana. Makange no pilipili barabara che?
N mimi naulilza makange ndo nini.
Mercri ngoja nijaribu kuyapika.ni jina la nyama ya kuku au mbuzi iliochomwa na kufanyiwa rosti na hiki chakula kipo sanasana rose garden na break point kijitonyama kwa dar hii..