BPM
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,760
- 573
wengi jamaa wananiambia wanipeleke kwa mganga arogwe niokoe ndoa yangu mie siamini vitu hivi hapa dar hamna mganga na kama yupo mbona tunataabika
kama umefikia kuwaza huko ni umasikini wa fikra dada yangu kaa chini ujipange .. kusanya maoni ya watu yatakusaidia kufunguka katika maamuzi sahihi