Napewa talaka mie unlucky

kwa nini unang'ang'ania m2 asiyekupenda? Chakarika ujipatie kipato. Nani alikwambia mtoto wa miez 7 anaweza chukuliwa na bac m2? Nenda mahakamani dai haki yako mgawane mlivyochuma. Pigania wanao uwalee mwenyewe.

Nina jirani yangu alitengana na mkewe akachukua barmaid,tena akang'ang'ania watoto, ukiwaona leo machozi yatakutoka. Mtoto wa kwanza kaishia darasa la saba kapewa mimba, baba analea mjukuu. Wa pili kapewa mimba akiwa form 2 anakaa na mwanaume. Wa tatu wa kiume yupo form 1 MUNGU amsaidie
 
habari zenu wapendwa nadhani mlisoma story yangu yote na mume wangu haya sasa imefikia siku tena huyu bwana kanitafutia sababu eti hawezi kuishi na mimi kisa alinipiga wakati na mimba miezi nane nikaenda polisi lakini hakutiwa mbaroni leo ananitolea sababu hiyo kama umenivunja moyo sina mapenzi tena na wewe kisa hiyo sababu ya kwenda polisi watoto anataka kuwachukua anasubiri mtoto wangu wa miezi minne awe miezi 10 ndo anipe hiyo talaka,sasa jana binamu yake kaniambia kama huyu bwana anataka kuoa ndo mana wewe anakutafutia sababu dah roho inaniuma sana nimeteseka miaka sita hamna mapenzi nimechuma nae alikuwa maskini leo katajirika sasa anaenda kumuoa malaya anaedance clubs jamani naomba mnishauri niende wapi serekalini anipe jasho langu na hawa watoto pia nipate mimi na pia nataka huyu mtu atolewe kabisa hapa dar asiishi tena yani nimkomoe haswa kanitesa sana nimehangaika sana nae mpaka leo ana uwezo naomba mnisaidie dada judith upo


kweli sasa nimeamini kuwa.........THERE IS ALWAYS A THIN LINE BETWEEN HATE AND LOVE...........
 
Pole sana dada,nimekua nikisoma post zako nyingi kwa muda mrefu juu ya manyanyaso unayoyapata toka kwa huyo mwanaume,mpaka amefikia hatua ya kutaka kukupa talaka sasa basi ni bora ukaanza wewe kumpa talaka,kama marafiki walivyoshauri hapo juu nenda TAWLA,TGNP watakusaidia kukupa msaada wa kisheria namna gani ufanye na huyo mumeo wa ajabu sana haiwezekani akutese kiasi hicho binafsi mimi nawaheshimu sana wanawake kwani nafahamu umuhimu hapa Duniani,pole dada angu kwani ndoa yako imezidi kua chungu nakumbuka uliwahi kusema hataki hata utoke nje sasa nae huyo mwanaume kweli? Pole sana dadaa.
 
<font size="4"><i>Mwanamke mwenye uwezo wa kuingia huku JF na kuchangia michango kupewa talaka si kuonewa lazima utakuwa umeshindikana. Wa kuonewa huruma ni wale wamama wa nyumbani wasiojua hili wala lile zaidi ya kuhudumia familia yake siku 365 bila kuchoka</i></font>
<br />
<br />
Ndachuwa,huyu dada ana matatizo ambayo anayapata kutoka kwa mumewe kwa muda mrefu sana na isiwe sabbu kua anapata muda wa kuja Jf ndio ukasema may be kashindikana hili linategemeana mkuu,je unajuaje kama anatumia muda huu kuandika haya wakati mumewe hayupo home? na sio watu wote wanajua matumizi ya Social Network probably mumewe hajui hili,so zipo sabbu nyingi mbali na hizi.
 
pole sana, je uko ktk imani ipi ya dini...? lkn usihizunike wala usivunjike moyo, yeye c mwisho wa maisha yako. utaumia bali M/MUNGU hamtupi mwenye kuzurumiwa. akikuacha kwa sababu za tamaa zake za mwili (bila sababu ya msingi) kama wewe ni muislamu shukuru MUNGU, utalipwa nguvu zako na haki zako hapa hapa duniani , huna sababu ya kutafuta kulipa kisasi MUACHIE MUNGU .
 
Pole unlucky, na majina mengine haya huwa mabaya sana , embu funga ID hii hili jina linakuchulia, kuna dada mmoja aliitwa taabu na aliteseka maisha yake yooote katika simulizi zake,kwa ulivosimulia hapo hakuna mapenzi hata kidogo, naona hakuna haja ya kung'ang'ania saaana, kuna maisha mazuri zaidi ya hayo, usitolee macho mali ambazo zinakutesa kisaikolojia, japo pia unaweza pigania ukapata haki yako kiasi, nina imani una kibalua chochote, jiweke bize sana jichanganye na marafiki mu ignore huyo jamaa kw muda


Sure Shantel's advice, badili hiyo ID plz, usijinenee mabaya. Pole kwa yanayokukuta ila kumuita mwanamke mwenzio malaya haijakaa poa she is a woman like you may be katongozwa kama ww ulivyotongozwa tuheshimiane wanawake kidogo. Nilisoma article ya dada mmoja alikuwaa anasimulia jinsi alivyo kuwa successfull baada ya divorce. Kuna wakati mapenzi yameisha kuishi pamoja ni kuumizana zaidi kuliko kusaidiana, u deserve happiness as kunaone chance ya kuishi so why waste it kwa mtu ambaye haoni umuhimu wako! Ukianza kutafutiwa visababu oohh ww mchoyo, oooh sijui hiki na kile, hakuna mapenzi hapo, mwache akupe talaka or ww issue yako. Inaweza kuwa ni best for u n ur kids.
 
WAHI KWENYE VYOMBO VYA SHERIA KILA MALI MLIYOCHUMA WOTE MTAGAWANA NA ATAKUACHIA WATOTO WAKO NA KUWAPA HELA YA MATUMIZI. tahadhari usimdai talaka muache akupe yeye
 
asanteni na hili jina nilijipa mda sana wakati yote yalinitokea nimevumilia mengi mpaka malaya zake wamnitukana lakini bado nimestahamili yote mpaka leo hii sina chochote kaniweka ndani tu ananipa hizo hela kidogo tu za mimi kununua vitu vyangu kama sabuni n.k pamoja na pampers za watoto mpaka leo hii sina akiba yoyote naomba mniambie hiyo talwa iko sehemu gani na je watanisaidia siyo kunizungusha ne je hawatataka pesa,huyu bwana ana pesa sana je nikifight nae na akaja kuwapa rushwa hao watu si watanigeuzia kibao ? Halafu huyu bwana ni foregner anaishi kwa permit hapa je nikienda imgration office itakuwa sawa?na talaka nataka nipate je niende wapi?

Wanawake ambao wanafikiria zaidi mambo ya kisheria kuolewa kwao kulivutwa na "material things" na hivyo anataka kugawia utajiri wa mumewe. Mimi nilifikiri kama kweli ulipenda kuolewa bila kusukumwa na kitu chochote linapotokea tatizo kwenye ndoa shauri litapelekwa kwa msimamizi wa ndoa, baadaye kwa wazazi. Huwezi kufikiria maswala ya kisheria wakati bado mnaishi nyumba moja.
 
Kwanza badili ID waambie mods wakuhamishie post zako zote kwa jina hilo na hili funga kabisa, utaona mambo yoote yaanaanza kwenda sawa, mumeo kama ni foreigner ni rahisi sana kuelewa habari ya kukuachia matunzo ya watoto, hapo ondoka kwanza halafu ukaombe matunzo ya watoto, umsubirie yeye afungue madai ya talaka,umesoma mpaka level gani?
 
rudia post yangu hapo,nimekuelekeza lhrc. immigration na visasi vitakuletea chuki tu na kuanza kukomoana mjini.hajakuambia hivyo kwa vile ni foreigner, hata wanawake walioolewa na waiga debe stendi wananyanyaswa tu. na wanaume pia wanaonyanyaswa na wake zao wapo. ndo maana unaona kila mtu anakusakama na hilo jina ulilojipa. sio kweli kuwa huna bahati,humu jf watu wana matatizo wakikuambia utaacha mdomo wazi. ni kwa vile wanapambana na matatizo yao na ushauri unasaidia. unakaa maeneo gani? tukuelekeze ofisi. haulipi chochote,wao wanatoa msaada wa kisheria bure. mjibu chantel pia kuhusu elimu yako usaidiwe kibarua. issue ya kuacha watoto wanawake wote tunayo na unafanya utaratibu tu mzuri na watoto wanakua.
na pia wapendwa mie sina kazi yoyote na hata nikifanya kazi wanangu watalelewa na nani mama mzee hawezi na pia kweli mie nataka kumwachia mungu yote anayofanya mungu atalipa sitaki kushindana nae wala kufight nae ila anipe talaka yangu na pesa za kuwalea wanangu na kuanza maisha mengine manake huyu bwana anataka nitoke lakini talaka asinipe yani mie niishi kivyangu yani anataka mie nisiendelee mbele azidi kuninyanyasa na nisiolewe tena anataka kunikomoa mara ngapi ananiambia we toka talaka yako utaletewa lakini anakuwa haleti naomba mnisaidie yani kwa kweli natamani hata kumuua huyu
<br />
<br />
 
<font size="4"><i>Mwanamke mwenye uwezo wa kuingia huku JF na kuchangia michango kupewa talaka si kuonewa lazima utakuwa umeshindikana. Wa kuonewa huruma ni wale wamama wa nyumbani wasiojua hili wala lile zaidi ya kuhudumia familia yake siku 365 bila kuchoka</i></font>
<br />
<br />
Haaa! Cjaelewa hapa does it mean wanawake wenye kujua internet nk wameshindikana au cjaelewa? Did u mean ulivyosoma article yake ameshindikana au simply bcoz anauwezo wa kujahapa kuchangia?
 
<font size="4"><i>Mwanamke mwenye uwezo wa kuingia huku JF na kuchangia michango kupewa talaka si kuonewa lazima utakuwa umeshindikana. Wa kuonewa huruma ni wale wamama wa nyumbani wasiojua hili wala lile zaidi ya kuhudumia familia yake siku 365 bila kuchoka</i></font>
Dah!! Watu wengine bana....
 
<font size="4"><i>Wanawake ambao wanafikiria zaidi mambo ya kisheria kuolewa kwao kulivutwa na &quot;material things&quot; na hivyo anataka kugawia utajiri wa mumewe. Mimi nilifikiri kama kweli ulipenda kuolewa bila kusukumwa na kitu chochote linapotokea tatizo kwenye ndoa shauri litapelekwa kwa msimamizi wa ndoa, baadaye kwa wazazi. Huwezi kufikiria maswala ya kisheria wakati bado mnaishi nyumba moja. </i></font>
Mbona unamshambulia sana huyu dada? Unasemaje kuhusu mambo anayofanyiwa na mumewe?
 
ilo jina unlucky limeleta balaaa nalo ndo maana umekuwa unluck ila pole sana nenda kwenye taasisi za haki za kibinadamu na ofis za kusaidia wana wake wajue wanakusaidia vp
 
Dah!! Watu wengine bana....
<br />
<br />
Nilizani ni mimi tu sielewi hi post! Simsimamii uyu dada ila wakati najaribu kumuelewa i find this kind of mchango is too harsh and general kwa maana kwamba may b us women we ar not supposed to b here at JF!
 
Pole Unlucky, huwa ninaaamini kuwa majina yetu tutayoyatumia huwa yanabeba taarifa zetu; sasa kama unajiita Unlucky tena???? Pole mwachie MUNGU na badilisha jina, think big
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom