Rich Dad
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 748
- 133
Watu wanalishana upumbafu humu JF! hivi mnajua gharama za kuendesha kile kivuko kwa siku ni kiasi gani? kuna mafuta, kuwalipa walinzi wa aina tatu ( Security Guards, Suma JKT, Polisi wa Kawaida), wafanyakazi wa dirishani na wale wanaochana ticket. Hapo bado hujawalipa madereva, hujapitisha askari na wanajeshi bure, wachilia mbali ticket fake zinazoingizwa pale na wakubwa.
Sasa yote hayo ukiyaangalia inatoa picha ya kwamba TZS 200 haitoshi kabisa, napendekeza mtu mmoja bila kujali umri alipie TZS 1000. Kwa upande wa vyombo vyote vya moto viwango vianzie TZS5000 - TZ10,0000 ili kuisaidia serikali na wafanyakazi kuongeza mapato.
Sasa yote hayo ukiyaangalia inatoa picha ya kwamba TZS 200 haitoshi kabisa, napendekeza mtu mmoja bila kujali umri alipie TZS 1000. Kwa upande wa vyombo vyote vya moto viwango vianzie TZS5000 - TZ10,0000 ili kuisaidia serikali na wafanyakazi kuongeza mapato.