Napendekeza TZS 1000 kwa mtu mmoja ili Kivuko Cha Kigamboni kijiendeshe kwa faida!

Rich Dad

JF-Expert Member
Dec 15, 2010
748
133
Watu wanalishana upumbafu humu JF! hivi mnajua gharama za kuendesha kile kivuko kwa siku ni kiasi gani? kuna mafuta, kuwalipa walinzi wa aina tatu ( Security Guards, Suma JKT, Polisi wa Kawaida), wafanyakazi wa dirishani na wale wanaochana ticket. Hapo bado hujawalipa madereva, hujapitisha askari na wanajeshi bure, wachilia mbali ticket fake zinazoingizwa pale na wakubwa.
Sasa yote hayo ukiyaangalia inatoa picha ya kwamba TZS 200 haitoshi kabisa, napendekeza mtu mmoja bila kujali umri alipie TZS 1000. Kwa upande wa vyombo vyote vya moto viwango vianzie TZS5000 - TZ10,0000 ili kuisaidia serikali na wafanyakazi kuongeza mapato.
 
Watu wanalishana upumbafu humu JF! hivi mnajua gharama za kuendesha kile kivuko kwa siku ni kiasi gani? kuna mafuta, kuwalipa walinzi wa aina tatu ( Security Guards, Suma JKT, Polisi wa Kawaida), wafanyakazi wa dirishani na wale wanaochana ticket. Hapo bado hujawalipa madereva, hujapitisha askari na wanajeshi bure, wachilia mbali ticket fake zinazoingizwa pale na wakubwa.
Sasa yote hayo ukiyaangalia inatoa picha ya kwamba TZS 200 haitoshi kabisa, napendekeza mtu mmoja bila kujali umri alipie TZS 1000. Kwa upande wa vyombo vyote vya moto viwango vianzie TZS5000 - TZ10,0000 ili kuisaidia serikali na wafanyakazi kuongeza mapato.

Mkuu ni maoni mazuri. Lakini mimi ningependekeza watu wasilipe kabisa, kusiwe na suala la biashara, sababu watanzania bado hatuna uwezo wa kuendesha public property. Dawa ni kujenga barabara tu pale, ikijengwa hakutakuwa na la kubabaisha. Ni ujinga hata kusikia waziri anakwenda kuzuia kupandishwa bei, as if hana kazi ofisini. kama kungekuwa na vivuko 1000 na vyote vingepandisha bei sijui kama angekwenda kwenye kila kivuko kusimamisha kupandisha bei.
 
Mkuu wangu mawazo mazuri lakini kumbuka hiyo ni huduma na si mradi wa kutoa faida. Pia mkuu hizo ticket fake unataka wananchi wazilipie? Huoni hapo kuna mwanya wa kuvujisha mapato?
 
Duh! Mtoa mada mbona hueleweki? Yaani wewe jawabu la kukabiliana na tiketi feki ni kupandisha nauli, au kuajiri wana-usalama/askari wa aina 3 tofauti ambao pengine hawahitajiki ni kupandisha nauli mpaka 1,000/..........je wafahamu idadi ya watanzania wanaoishi chini ya dola moja na kwamba usafiri wa kuvuka upande mmoja kwa kivuko kwa sh 1,000 ni anasa and almost impossible. I thought ungekuja na idea ya kutolipia kabisa

Unatuachia maswali mengi kuliko majibu NA pengine tuanze kuja na theory mbalimbali ili kujaribu kujibu baadhi ya maswali. One of the theory ni kwamba WEWE MWENYEWE INAWEZEKANA NDIE MLETA/MKATA TIKETI FEKI sasa unataka bei ipandishwe ufaidi vizuri.

Hakika ninyi na ufisjdi wenu iko siku laana zetu zitawakuta
 
Watu wanalishana upumbafu humu JF! hivi mnajua gharama za kuendesha kile kivuko kwa siku ni kiasi gani? kuna mafuta, kuwalipa walinzi wa aina tatu ( Security Guards, Suma JKT, Polisi wa Kawaida), wafanyakazi wa dirishani na wale wanaochana ticket. Hapo bado hujawalipa madereva, hujapitisha askari na wanajeshi bure, wachilia mbali ticket fake zinazoingizwa pale na wakubwa.
Sasa yote hayo ukiyaangalia inatoa picha ya kwamba TZS 200 haitoshi kabisa, napendekeza mtu mmoja bila kujali umri alipie TZS 1000. Kwa upande wa vyombo vyote vya moto viwango vianzie TZS5000 - TZ10,0000 ili kuisaidia serikali na wafanyakazi kuongeza mapato.
Kwa nini tunalipa kodi? Nilidhani kuwa kodi zetu ndizo zilipaswa kushughulikia haya mambo unayoyaorodhesha hapa. Basi kama ni hivyop serikali ifute kodi halafu tulipe hiyo nauli wanayoitaka. haiwezekani tulipe kodi kwa ajili ya kuiwezesha serikali kugharamia huduma za jamii, halafu huduma hizo hizo zitolewe kwa bei ya juu
 
Suluhisho la kigamboni ni electronic gates tu, Uwanja wa ndege getini yupo mtu mmoja tu tena wakati wa kutoka, hakuna sababu ya kuwa na watumishi wengi kwenye kile kivuko, hasa yule mdada wa matangazo kwani hawawezi kurecord sauti ya mtu kisha wakawa wanaplay kila wanapofika upande wa pili. Kimsingi mtanzania kila kitu kwa vitendo ni 0% ila theory 100%
 
hivi we mleta thread unakatisha ticket nini na wewe kwa hiyo unataka mshahara wako upande eh wewe ukiwa pale unalipwa na nani na serikali au na kivuko? Hata hiyo nauli ingetolewa watu wapande bure
 
Watu wanalishana upumbafu humu JF! hivi mnajua gharama za kuendesha kile kivuko kwa siku ni kiasi gani? kuna mafuta, kuwalipa walinzi wa aina tatu ( Security Guards, Suma JKT, Polisi wa Kawaida), wafanyakazi wa dirishani na wale wanaochana ticket. Hapo bado hujawalipa madereva, hujapitisha askari na wanajeshi bure, wachilia mbali ticket fake zinazoingizwa pale na wakubwa.
Sasa yote hayo ukiyaangalia inatoa picha ya kwamba TZS 200 haitoshi kabisa, napendekeza mtu mmoja bila kujali umri alipie TZS 1000. Kwa upande wa vyombo vyote vya moto viwango vianzie TZS5000 - TZ10,0000 ili kuisaidia serikali na wafanyakazi kuongeza mapato.
Mkuu unaweza kutuambia kwa siku kivuko kinavuna shilingi ngapi na matumizi ni kiasi gani? Hao wakubwa wanaoleta ticket fake kwa nini wasiripotiwe kwenye vyombo vya ulinzi na usalama. Kama kun ticket fake toka kwa wakubwa ni hakika pia kuwa kuna ticket fake toka kwa wadogo; kwa maana hiyo asilimia zaidi ya hamsini ya ticket zinazotolewa ni fake na hivyo mapato kuingia mifukoni mwa wajanja.

Hayo makundi yote ya walinzi ya nini? Polisi si wanalinda mali ya serikali wanalipwa nini kama wako kazini kama kawaida? Au ni posho?
 
Suluhisho la kigamboni ni electronic gates tu, Uwanja wa ndege getini yupo mtu mmoja tu tena wakati wa kutoka, hakuna sababu ya kuwa na watumishi wengi kwenye kile kivuko, hasa yule mdada wa matangazo kwani hawawezi kurecord sauti ya mtu kisha wakawa wanaplay kila wanapofika upande wa pili. Kimsingi mtanzania kila kitu kwa vitendo ni 0% ila theory 100%
Tunatengeneza ajira mkuu!
 
Watu wanalishana upumbafu humu JF! hivi mnajua gharama za kuendesha kile kivuko kwa siku ni kiasi gani? kuna mafuta, kuwalipa walinzi wa aina tatu ( Security Guards, Suma JKT, Polisi wa Kawaida), wafanyakazi wa dirishani na wale wanaochana ticket. Hapo bado hujawalipa madereva, hujapitisha askari na wanajeshi bure, wachilia mbali ticket fake zinazoingizwa pale na wakubwa.
Sasa yote hayo ukiyaangalia inatoa picha ya kwamba TZS 200 haitoshi kabisa, napendekeza mtu mmoja bila kujali umri alipie TZS 1000. Kwa upande wa vyombo vyote vya moto viwango vianzie TZS5000 - TZ10,0000 ili kuisaidia serikali na wafanyakazi kuongeza mapato.
Kijana hujui unachoandika.
Ni vizuri ukafanya research kwanza kabla hujaandika.
 
Watu wanalishana upumbafu humu JF! hivi mnajua gharama za kuendesha kile kivuko kwa siku ni kiasi gani? kuna mafuta, kuwalipa walinzi wa aina tatu ( Security Guards, Suma JKT, Polisi wa Kawaida), wafanyakazi wa dirishani na wale wanaochana ticket. Hapo bado hujawalipa madereva, hujapitisha askari na wanajeshi bure, wachilia mbali ticket fake zinazoingizwa pale na wakubwa.
Sasa yote hayo ukiyaangalia inatoa picha ya kwamba TZS 200 haitoshi kabisa, napendekeza mtu mmoja bila kujali umri alipie TZS 1000. Kwa upande wa vyombo vyote vya moto viwango vianzie TZS5000 - TZ10,0000 ili kuisaidia serikali na wafanyakazi kuongeza mapato.

Rich Dad unatoka katika Rich Family kwa sababu wewe ni wa Rich Clan na una Rich Kids so Una Rich Money unaweza kulipa Rich Fare na kuishi Rich Life. Mnataka kutukomoa tuishio Kigamboni?
 
hebu tuwekee mahesabu sahihi, KUNA JUMLA YA WAFANYAKAZI WANGAPI? MATUMIZ MENGINE YANAGHARIM SH. NGAPI? KUNAVUKA WASTANI WA BINADAMU WANGAPI KWA SIKU? MAGARI MAKUBWA NA MADOGO YANAVUSHWA MANGAPI KWASIKU?
 
Watu wanalishana upumbafu humu JF! hivi mnajua gharama za kuendesha kile kivuko kwa siku ni kiasi gani? kuna mafuta, kuwalipa walinzi wa aina tatu ( Security Guards, Suma JKT, Polisi wa Kawaida), wafanyakazi wa dirishani na wale wanaochana ticket. Hapo bado hujawalipa madereva, hujapitisha askari na wanajeshi bure, wachilia mbali ticket fake zinazoingizwa pale na wakubwa.
Sasa yote hayo ukiyaangalia inatoa picha ya kwamba TZS 200 haitoshi kabisa, napendekeza mtu mmoja bila kujali umri alipie TZS 1000. Kwa upande wa vyombo vyote vya moto viwango vianzie TZS5000 - TZ10,0000 ili kuisaidia serikali na wafanyakazi kuongeza mapato.
Eleza kuendesha kivuko gharama yake ni kiasi gani kwa siku? Na mapato yanayokusanywa ni kiasi gani? Siyo kusema tunalishana upumbavu toa figure tuanze kujadili ongezeko lenye tija ni kiasi gani?
 
maadam lengo ni kukusanya mapato sawa buku tutoe ila mimi mkazi wa mbutu pantoni linipeleke mpaka home.....
 
Watu wanalishana upumbafu humu JF! hivi mnajua gharama za kuendesha kile kivuko kwa siku ni kiasi gani? kuna mafuta, kuwalipa walinzi wa aina tatu ( Security Guards, Suma JKT, Polisi wa Kawaida), wafanyakazi wa dirishani na wale wanaochana ticket. Hapo bado hujawalipa madereva, hujapitisha askari na wanajeshi bure, wachilia mbali ticket fake zinazoingizwa pale na wakubwa.
Sasa yote hayo ukiyaangalia inatoa picha ya kwamba TZS 200 haitoshi kabisa, napendekeza mtu mmoja bila kujali umri alipie TZS 1000. Kwa upande wa vyombo vyote vya moto viwango vianzie TZS5000 - TZ10,0000 ili kuisaidia serikali na wafanyakazi kuongeza mapato.

Vyombo vyote vya moto,hata mabasi ya mikoani,teh teh teh.Kweli wewe unatupenda watz
 
Mkuu ni maoni mazuri. Lakini mimi ningependekeza watu wasilipe kabisa, kusiwe na suala la biashara, sababu watanzania bado hatuna uwezo wa kuendesha public property. Dawa ni kujenga barabara tu pale, ikijengwa hakutakuwa na la kubabaisha. Ni ujinga hata kusikia waziri anakwenda kuzuia kupandishwa bei, as if hana kazi ofisini. kama kungekuwa na vivuko 1000 na vyote vingepandisha bei sijui kama angekwenda kwenye kila kivuko kusimamisha kupandisha bei.

Unafikiri daraja ndio litakuwa la bure?? wa Mombasa hunena "unlala".
 
hivi mtoa mada unakaa kigamboni?
kama sivo unajua ugumu wa maaisha kwa mwananchi wa kawaida? mfano mwl alipe 1000 asbh na jioni jumla kwa mezi sh 60,000 kwa mwezi,mshahara wake 120,000
'je nauli ya daladala? kodi,matumizi ya ndani atajimuduje?
hicho kivuko ni huduma tu kwa wananchi sawa na ilivo umeme tunalipa bil lakini hazitoshi kukidhi uendeshaji wa tanesco ndio maana
serikali inagharamia ili ijiendeshe
unapotoa pendekezo kama hivo wazia mwananchi wa kawaida atajimuduje
bila shaka ww ni mmoja wa wanaofaidikia na hicho kivuko.
suluhisho ni daraja peke yake,
 
hebu tuwekee mahesabu sahihi, KUNA JUMLA YA WAFANYAKAZI WANGAPI? MATUMIZ MENGINE YANAGHARIM SH. NGAPI? KUNAVUKA WASTANI WA BINADAMU WANGAPI KWA SIKU? MAGARI MAKUBWA NA MADOGO YANAVUSHWA MANGAPI KWASIKU?

ukitaka kumchanganya muongo mwambie akupe hizo data!
 
Back
Top Bottom