KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
Heshima Kwenu Wanabodi,Natumaini wote mtakuwa Mapumziko huku mkimsikiliza Mwenyekiti wa CCM Taifa na Raisi wa JMT akiongea mustakabali wa wafanyakazi wa Tanzania katika maadhimisho ya wafanyakazi duniani.Wote nafikiri tunaelewa kipindi cha hard talk kinachorushwa na BBC.Napendekeza kwa viongozi wote wanamembership humu JF na ambao awana washawishike kujoin ili wanadau kutoka pande mbali waweze kuwauliza au kupata ufafanuzi wa mambo mbali mbali.Hii nafikiri itakuwa most effective kuliko FB wall!Tumeona hapa viongozi wenye membership wamekuwa wakijitokeza kujibu au kukanusha mambo mbali mbali yanayowahusu!Na JF imekuwa ikitumika kwa reference point ya mambo mbali mbali!
Haya ni Mawazo tu kama itaonekana inafaa basi Mods u can propose the wayforwad jinsi gani tutafanikisha hili.
Mytake: Nakaribisha Mawazo wanabodi!
Haya ni Mawazo tu kama itaonekana inafaa basi Mods u can propose the wayforwad jinsi gani tutafanikisha hili.
Mytake: Nakaribisha Mawazo wanabodi!