what goes around comes around!kutokana na kichwa kikubwa cha habari leo kwenye gazeti la umma habari leo kusema"ahadi za slaa hazitekelezeki",napendekeza pia kesho waandike ahadi zifuatazo za jk hazitkelezeki:
- hospitali ya sinza kuwa ya mkoa
- kigoma kuwa kama dubai
- ununuzi wa meli kubwa na mya ziwa victoria
- ujenzi wa viwanja vya ndege vya kisasa,kigoma,bukoba
- bajaj 400 kwa wajawazito
- bonde la ruvu kuwekezwa ktk kililmo cha mbogamboga
- kujenga machinga complex kila wilaya ndani ya dar