kula kwa tindo
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 1,330
- 323
Kutokana na mwamko mkubwa wa WATANGANYIKA kujitambua na kuzitambua haki zao na kujitoa mhanga kudai haki,tumeshuhudia wimbi kubwa la MAMLUKI wanaojiita WAPAMANAJi kumbe ni MAVUVUZElA tu...
Napendekeza kuwe na majimbo, na kila Jimbo kuwe na Seneta (Rais) wa Jimbo... Ili tuwatambue wale wanaoikumbatia serikali hii ya MAGAMBA, hasa Bongo mabingwa wa kupiga mayowe lakini vitendo Ovyoooooooo....
KWETU SISI PAZUUUUUUUURI Banaaa...
Napendekeza kuwe na majimbo, na kila Jimbo kuwe na Seneta (Rais) wa Jimbo... Ili tuwatambue wale wanaoikumbatia serikali hii ya MAGAMBA, hasa Bongo mabingwa wa kupiga mayowe lakini vitendo Ovyoooooooo....
KWETU SISI PAZUUUUUUUURI Banaaa...