Hata kama wana JF wote watapiga kura ya ndiyoooooooo! anayeteua atamteua? Ataweza kumpiga stop kwa maamuzi yake magumu kama alivyofanya kwenye bomoa bomoa?Dr.Magufuli anafaa kuwa PM wetu kwasababu ana kila sifa na sababu yakuchukua nafasi hiyo
Wana jamvi nakunjua jamvi kwa mapendekezo vote vote vote wano kubali John pombe Maghufuri awe PM wetu mpya
wanao kubali sema ndioooooooooooooooooooooo
wnao kataaa sema hapanaaaaaaaaaaaaaaaaaa
nwahojiiiiii wnao kubali vs wnaokataaaa