Wana jamvi nakunjua jamvi kwa mapendekezo vote vote vote wano kubali John pombe Maghufuri awe PM wetu mpya
wanao kubali sema ndioooooooooooooooooooooo
wnao kataaa sema hapanaaaaaaaaaaaaaaaaaa
nwahojiiiiii wnao kubali vs wnaokataaaa
Hili ndio tatizo letu Watanzania......kupenda ....kupenda .......kupenda
Wekeni vigezo vya waziri mkuu tunayemuhitaji katika status hii halafu wekeni na wasifu wake..........sio CV (as hata hawa wanaotuhumiwa leo wapo wenye CV nzuri tu) bali pia na mapungufu yake yaanikwe yeye na wengine then tuta-suggest..........sio suala la NDIO au HAPANA
Nawasilisha
Ushabiki na mapenzi ya kuona ndo umetufikisha hapa.........
Hili ndio tatizo letu Watanzania......kupenda ....kupenda .......kupenda
Wekeni vigezo vya waziri mkuu tunayemuhitaji katika status hii halafu wekeni na wasifu wake..........sio CV (as hata hawa wanaotuhumiwa leo wapo wenye CV nzuri tu) bali pia na mapungufu yake yaanikwe yeye na wengine then tuta-suggest..........sio suala la NDIO au HAPANA
Nawasilisha
Ushabiki na mapenzi ya kuona ndo umetufikisha hapa.........
...najua wengi watakataa ila jamaa anafaa kwa kazi anazozifanya hapa umemsahau naibu waziri wa tamisemi mr.mwanri apewe barabara uone mambo...Mi nampa kula ya. ndio
Huyu alikuwa dalali wa nyumba za serekali !.
hafai, na kwa ufupi hakuna yoyote anayefaaye aliyeko kwenye system
Hafai, muongo, mnafki, mpenda sifa..... atatuharibia nchi. Yuko tayari kumuumbua mtu hadharani ili tu aonekane yeye bora mbele ya wananchi.
Wana jamvi nakunjua jamvi kwa mapendekezo vote vote vote wano kubali John pombe Maghufuri awe PM wetu mpya
wanao kubali sema ndioooooooooooooooooooooo
wnao kataaa sema hapanaaaaaaaaaaaaaaaaaa
nwahojiiiiii wnao kubali vs wnaokataaaa