Jembe lipo poa,tatizo watambwela kumpa maana hakawi kuwa umbua faster wote
Safi sanaaaaaaaaa kama ataupata u PM
Wana jamvi nakunjua jamvi kwa mapendekezo vote vote vote wano kubali John pombe Maghufuri awe PM wetu mpya
wanao kubali sema ndioooooooooooooooooooooo
wnao kataaa sema hapanaaaaaaaaaaaaaaaaaa
nwahojiiiiii wnao kubali vs wnaokataaaa