Lukolo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 5,143
- 3,196
- Thread starter
- #21
Nashukuru sana Mkuu Mkandara. Naamini mabadiliko ya kweli yapo mlangoni. Maana hii CCM ambayo inajiita ya kwetu kwa hakika si yetu hata kidogo. Ni yao na watoto wao.Lukolo,
Mkuu waneno mazito sana haya. Hata kama Chadema au Dr.Slaa hatakubali uungane ktk msafara wake basi atumie aya zako kwani zimegomga hali halisi ambayo kusema kweli Wadanganyika wengi wameshindwa kutazama CCM ilipotoka na leo ni chama gani?