- Thread starter
- #21
Tamaa tu hizo, migongo haina mana kama mtu hajui mapenzi.
Kwamba anajua au hajui mapenzi yatakuja baadae baada ya kuvutiwa na mgongo.
Tamaa tu hizo, migongo haina mana kama mtu hajui mapenzi.
[/B]
unajiua mwenyewe
Mkubwa ndo wa dimension gani?
Punguza tamaa tutakuzika mapema
Linganisha corola na scania...
ufananisho gani huu....
Mkubwa ndo wa dimension gani?
Hatua 70 kwa 70,lol!
Kwani lazima uwatazame.............!? Wewe sema tu una lako jambo...!
Kwani lazima uwatazame.............!? Wewe sema tu una lako jambo...!
Wanawake wengi siku hizi wana tabia ya kuvaa mavazi ambayo yana display mgongo na matiti. Sasa mi nikiona migongo mikubwa ya wanawake inang'ara halafu ipo wazi basi mi nakuwa hoi.
Wanawake mtaniua jamani.
Kwani lazima uwatazame.............!? Wewe sema tu una lako jambo...!
Yaani mgongo huuu wa kubebea mtoto au unamaanisha nini, mbona unahatari ya kubaka?