Napenda sana umbea

Mh!hii ni kali kuliko
Hizi ni tabia za kike nimestuka sana kusikia maneno haya yanatoka kwa mwanaume!

Au ndo wale wanaume anaowasemaga Asprin ?

kumbe mwanaume?,mamaweeeeeeeee
 
Last edited by a moderator:
Mmh,hyo video nimeiona ila umbea wangu sio wa kiivyo wa kiswahil sana,yaan nipo classic na heshima zangu tupo kama crew ya wanaume 17 kwa umbea hatar,ila sio wa kiroko umbea wa ki digital ambao kila mmoja wenu nadhan anayo hii tabia,ukimuona mtu kapita na demu kosa utachambuliwa na kusambaziwa mbovu had utahama,umbea mtamu sisi wenyew kweny kundi letu mmoja akiwa hayupo lazima tuku disscuss hatu ba kish mtu kweny umbea ubest pemben tunakupa makavu tu

Sijawahi kuona wala kusikia mwanaume anakiri kuwa yeye ni mmbea. Naomba nikwambie,umbea hauna u-classic wala u-digitally...umbea ni umbea kaka. Wewe una umbea wa kiswazi tena ule wa kishambenga!! Kwanini mtaa uwaogope..?!! Mbaya zaidi mnatabia zile za saloon za 'amka tukutete',mshkaji mnacheka naee wee akiondoka tu mnachambua.. U-digitally uko wapi?? Wewe ni mmbea mshambenga tena mzandiki.. Wala hata sio sifa nzuri. Utamteta hadi mkeo wewe,utamuanika na kumdhalilisha...we wakuogopwa!!!!!!
 
Sisi wambea kama hamjui tunasaidia sana kuelimisha na kukosoa jamii,unapofany jambo baya kwa mfano umalaya,kuringa na kujifanya we mzuri saan usalimii watu mtaani bas kwetu umefika utanyooka tu kwani tunaamin mtu yeyote hakuna anayependa kusemwa vbay sisi tukikusema lazima utanyooka kwani maneno yanauma asikwambie mtu lazima ujisikie vbay na utanyooka tu mpak kieleweke

Yaaani walaaa..umbea haurekebishi tabia. Tambua tofauti kati ya ku-backbite na ku-confront sawaa! Wewe unachanganya hizi maana mbilii....
 
DEMBA nimemmiss huyu kiumbe! Lol...

Nimejikuta nakomment hapa!
 
Last edited by a moderator:
Mmh,hyo video nimeiona ila umbea wangu sio wa kiivyo wa kiswahil sana,yaan nipo classic na heshima zangu tupo kama crew ya wanaume 17 kwa umbea hatar,ila sio wa kiroko umbea wa ki digital ambao kila mmoja wenu nadhan anayo hii tabia,ukimuona mtu kapita na demu kosa utachambuliwa na kusambaziwa mbovu had utahama,umbea mtamu sisi wenyew kweny kundi letu mmoja akiwa hayupo lazima tuku disscuss hatu ba kish mtu kweny umbea ubest pemben tunakupa makavu tu

Wanaume?????? Mnajisifia kwa umbea??? Umbea ni wa watoto wa kike, na wanapendeza wakiwa wambea, ila wanaume???aiseeee, nina mashaka na mifumo yenu, pia kwa nchi jirani yetu hapo juu (kwa Musix) mnaweza msikatize!
 
Kafanye kazi CIA

Umbea kwenye mission za kijasusi! au hujui maana ya umbea? wewe unafikiri ushushushu ungekuwa umbea wangeitwa secret angents/service? umbea maana yake ni kupenda kuongea mambo ya watu binafsi pasipo sababu za msingi.
 
Wanaume wote wanaopenda umbea kama alivyojieleza mleta mada wana tabia za kike na kishoga. Ni aina ya wanaume ambao huona aibu kukaa na wanaume wenzao. warumi angalia usije kuvalishwa kitenge.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom