Mmh,hyo video nimeiona ila umbea wangu sio wa kiivyo wa kiswahil sana,yaan nipo classic na heshima zangu tupo kama crew ya wanaume 17 kwa umbea hatar,ila sio wa kiroko umbea wa ki digital ambao kila mmoja wenu nadhan anayo hii tabia,ukimuona mtu kapita na demu kosa utachambuliwa na kusambaziwa mbovu had utahama,umbea mtamu sisi wenyew kweny kundi letu mmoja akiwa hayupo lazima tuku disscuss hatu ba kish mtu kweny umbea ubest pemben tunakupa makavu tu
Sisi wambea kama hamjui tunasaidia sana kuelimisha na kukosoa jamii,unapofany jambo baya kwa mfano umalaya,kuringa na kujifanya we mzuri saan usalimii watu mtaani bas kwetu umefika utanyooka tu kwani tunaamin mtu yeyote hakuna anayependa kusemwa vbay sisi tukikusema lazima utanyooka kwani maneno yanauma asikwambie mtu lazima ujisikie vbay na utanyooka tu mpak kieleweke
we Excel umeanza lini ufukunyuku...lol
Mmh,hyo video nimeiona ila umbea wangu sio wa kiivyo wa kiswahil sana,yaan nipo classic na heshima zangu tupo kama crew ya wanaume 17 kwa umbea hatar,ila sio wa kiroko umbea wa ki digital ambao kila mmoja wenu nadhan anayo hii tabia,ukimuona mtu kapita na demu kosa utachambuliwa na kusambaziwa mbovu had utahama,umbea mtamu sisi wenyew kweny kundi letu mmoja akiwa hayupo lazima tuku disscuss hatu ba kish mtu kweny umbea ubest pemben tunakupa makavu tu
Haya bwana cnn aljazeera plus...nimekupenda bure
Kafanye kazi CIA
Naona leo Warumi anafunuliwa mafile yake ya zamani.