Mmh,hyo video nimeiona ila umbea wangu sio wa kiivyo wa kiswahil sana,yaan nipo classic na heshima zangu tupo kama crew ya wanaume 17 kwa umbea hatar,ila sio wa kiroko umbea wa ki digital ambao kila mmoja wenu nadhan anayo hii tabia,ukimuona mtu kapita na demu kosa utachambuliwa na kusambaziwa mbovu had utahama,umbea mtamu sisi wenyew kweny kundi letu mmoja akiwa hayupo lazima tuku disscuss hatu ba kish mtu kweny umbea ubest pemben tunakupa makavu tu
--------------------------------------------------------------,umbea mtamu sisi wenyew kweny kundi letu mmoja akiwa hayupo lazima tuku disscuss hatu ba kish mtu kweny umbea ubest pemben tunakupa makavu tu
yaani wewe kweli ni mwanaume rijali kabisa ???????????Yan nikisikia kitu au habar yeyote uwa nakuwa roho juu,mtu akiniambia kitu siwez kabisa kukaa nacho moyon lazima niseme tu,yaan na enjoy sana umbea,mbaya zaid nyumban ndo dah hat nikiwa wapi lazima nipigiwe simu nipewe taarifa,ikitokea siku nimesafir bas nyumba inapoa sana,nikirud wee umbea kwenda mbele,yaan kwa kweli nimezid umbea kwa kweli,nikiona mtu kasimama na mtu kosa,mtaa mzima lazima wajue kupitia mimi.kuna duka moja ivi uwa tunakaa vijana tunapiga umbea yaan had watu wanatuogopa ukipita tu,bas taarifa zako zinamwagwa hatari,kijiwe chetu kinaogopwa sana,yaan kila nikijitahid niache niish maisha yangu nashindwa yaani napenda sana umbea,nikipata taarifa yako tu bas lazima mtaa mzima wajue,na enjoy sana umbea jamn,hadi nimenenepa napenda sana umbea....
yaani wewe kweli ni mwanaume rijali kabisa ???????????
mpo 17,wewe utakuwa kundi la zemarcopolo.Yan nikisikia kitu au habar yeyote uwa nakuwa roho juu,mtu akiniambia kitu siwez kabisa kukaa nacho moyon lazima niseme tu,yaan na enjoy sana umbea,mbaya zaid nyumban ndo dah hat nikiwa wapi lazima nipigiwe simu nipewe taarifa,ikitokea siku nimesafir bas nyumba inapoa sana,nikirud wee umbea kwenda mbele,yaan kwa kweli nimezid umbea kwa kweli,nikiona mtu kasimama na mtu kosa,mtaa mzima lazima wajue kupitia mimi.kuna duka moja ivi uwa tunakaa vijana tunapiga umbea yaan had watu wanatuogopa ukipita tu,bas taarifa zako zinamwagwa hatari,kijiwe chetu kinaogopwa sana,yaan kila nikijitahid niache niish maisha yangu nashindwa yaani napenda sana umbea,nikipata taarifa yako tu bas lazima mtaa mzima wajue,na enjoy sana umbea jamn,hadi nimenenepa napenda sana umbea....
naomba nikuite Dautch velle......