Napenda sana umbea

Mmh,hyo video nimeiona ila umbea wangu sio wa kiivyo wa kiswahil sana,yaan nipo classic na heshima zangu tupo kama crew ya wanaume 17 kwa umbea hatar,ila sio wa kiroko umbea wa ki digital ambao kila mmoja wenu nadhan anayo hii tabia,ukimuona mtu kapita na demu kosa utachambuliwa na kusambaziwa mbovu had utahama,umbea mtamu sisi wenyew kweny kundi letu mmoja akiwa hayupo lazima tuku disscuss hatu ba kish mtu kweny umbea ubest pemben tunakupa makavu tu


Khaaaaaaaa!
 
--------------------------------------------------------------,umbea mtamu sisi wenyew kweny kundi letu mmoja akiwa hayupo lazima tuku disscuss hatu ba kish mtu kweny umbea ubest pemben tunakupa makavu tu

heeeeee mbavu zangu jamani!
 
Hiyo ni curiosity tu sio kitu kibaya inabidi ujaribu uingie kwenye fani ya uandishi wa habari utumie hizo strength zako.
 
Yakhee kama wewe ni mwanaume angalia sana utaja pakatwa weyeee!! Kama ni Binti nadhani labda haujapata bwana anayeshughulikia vizuri!Ukipata kidume lazima kitakuweka busy tu.
 
Hata mie zamani nilikuwa na mtizzamo huo.

Ila kuna mama mmoja mwanasheria, kaishi na kusoma nje, na kwao hukooo masaki, ni mmbea utadhani karukwa akili.

Na chini yuko active kama singo kumbe ni albam na ina watoto, umbea ni tabia, tena mie nahisi inahusiana na self esteem, kutaka kukubalika kwenye kundi

[QUOTEn=georgeallen;6483012]Sifa kuu za wambeya: elimu ndogo, wanaishi uswahilini, maisha ya kubangaiza[/QUOTE]
 
Yan nikisikia kitu au habar yeyote uwa nakuwa roho juu,mtu akiniambia kitu siwez kabisa kukaa nacho moyon lazima niseme tu,yaan na enjoy sana umbea,mbaya zaid nyumban ndo dah hat nikiwa wapi lazima nipigiwe simu nipewe taarifa,ikitokea siku nimesafir bas nyumba inapoa sana,nikirud wee umbea kwenda mbele,yaan kwa kweli nimezid umbea kwa kweli,nikiona mtu kasimama na mtu kosa,mtaa mzima lazima wajue kupitia mimi.kuna duka moja ivi uwa tunakaa vijana tunapiga umbea yaan had watu wanatuogopa ukipita tu,bas taarifa zako zinamwagwa hatari,kijiwe chetu kinaogopwa sana,yaan kila nikijitahid niache niish maisha yangu nashindwa yaani napenda sana umbea,nikipata taarifa yako tu bas lazima mtaa mzima wajue,na enjoy sana umbea jamn,hadi nimenenepa napenda sana umbea....
yaani wewe kweli ni mwanaume rijali kabisa ???????????
 
Mtoa mada ni mwanamme, na wako 17 kundini

Mh!hii ni kali kuliko
Hizi ni tabia za kike nimestuka sana kusikia maneno haya yanatoka kwa mwanaume!

Au ndo wale wanaume anaowasemaga Asprin ?
 
Last edited by a moderator:
Yan nikisikia kitu au habar yeyote uwa nakuwa roho juu,mtu akiniambia kitu siwez kabisa kukaa nacho moyon lazima niseme tu,yaan na enjoy sana umbea,mbaya zaid nyumban ndo dah hat nikiwa wapi lazima nipigiwe simu nipewe taarifa,ikitokea siku nimesafir bas nyumba inapoa sana,nikirud wee umbea kwenda mbele,yaan kwa kweli nimezid umbea kwa kweli,nikiona mtu kasimama na mtu kosa,mtaa mzima lazima wajue kupitia mimi.kuna duka moja ivi uwa tunakaa vijana tunapiga umbea yaan had watu wanatuogopa ukipita tu,bas taarifa zako zinamwagwa hatari,kijiwe chetu kinaogopwa sana,yaan kila nikijitahid niache niish maisha yangu nashindwa yaani napenda sana umbea,nikipata taarifa yako tu bas lazima mtaa mzima wajue,na enjoy sana umbea jamn,hadi nimenenepa napenda sana umbea....
mpo 17,wewe utakuwa kundi la zemarcopolo.
 
Yaani ki ukweli nyie chunguzeni ti mtajua wanaume tunaongoza kwa umbea hatar kuliko hat wasichana siku izi,na wala elimu sio tatizo,mm nasoma degree ya socilology na wenzangu woote wamesoma yaan level ya chin ni diploma na wala sio maisha maguma au suala la kuwa rijal au la umbea unahusiana nn na urijali??,kwa taarifa yenu wanaume tunaongoza kwa umbea sema wengi wanajificha kuona aibu ila uo ndo ukwel
 
Nashukur kwa kulijua hilo,umbea mwingi wa wanaume ni kuwasema akina dada yule ana ukimw,mara anatoka na kibabu mara katoa mimba,yaan asilimia 80 ya umbea wa wanaume ni kuwasema wasichana na mara chache kuwasema wanaume wenzao,tena usiombe msichana ukajifany unaringa tunakutongoza kund zima kila mtu na mda wake tunakugonga na kukutangazia mbofu mtihan hat kukurekod tunakurekod
 
Sisi wambea kama hamjui tunasaidia sana kuelimisha na kukosoa jamii,unapofany jambo baya kwa mfano umalaya,kuringa na kujifanya we mzuri saan usalimii watu mtaani bas kwetu umefika utanyooka tu kwani tunaamin mtu yeyote hakuna anayependa kusemwa vbay sisi tukikusema lazima utanyooka kwani maneno yanauma asikwambie mtu lazima ujisikie vbay na utanyooka tu mpak kieleweke
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom