WILSON MWIJAGE
JF-Expert Member
- May 30, 2011
- 276
- 76
Ndugu,
Mimi kama mwanadamu wa kiume, ninapenda sana kuona chupi ya msichana au mwanamke lakini pia napenda sana kuona matiti ya binti/msichana/mwanamke. Jambo hili si utani hata kidogo, napenda sana (sana) kuviona na wala sina tatizo kwa anayenionyesha vitu hivyo (chupi/matiti)!
Pamoja na kupenda sana kuviona vitu hivyo, napata tatizo kwa wanaovionyesha pasipo ridhaa yangu. Sitaki vitu hivi nivione kwenye daladala, sitaki kuviona sokoni au dukani wala sitaki kuviona ofisini!. Nataka kuviona chumbani tukiwa wawili tu. Kwa nini mabinti/wanawake wanavionyesha wazi wazi pasipo makubaliano maalumu na wanaoviona?
Kumeibuka tabia ya kuonyesha matiti (chakula ya ntoto) hadharani, nguo zinakatwa makusudi, matiti yanaminywa na kuonyeshwa PIA Kumeibuka tabia ya kuvaa suluali si tu kwamba zinabana bali pia zinazoonyesha chupi pindi ikitokea binti/mwanamke akawa anachambua nguo au machungwa sokoni au anashuka kwenye daladala na mbaya zaidi ni pale anapojikwaa.
Suala hili si la mabinti ambao hawakubahatika kwenda shule, haliwahusu tu wa darasa la saba, wala wa kidato cha nne, suala hili linawahusu pia hata wenye digrii na masta. Nimejaribu kuwazuia baadhi (wamenitii) na wengine wamekataa kwa maana ya utandawazi na kwa maana ya muda tulionao!
Napenda sana kuona ILA mahali panapostahili kwa makubaliano maalumu.
Nawakilisha
,
Mimi kama mwanadamu wa kiume, ninapenda sana kuona chupi ya msichana au mwanamke lakini pia napenda sana kuona matiti ya binti/msichana/mwanamke. Jambo hili si utani hata kidogo, napenda sana (sana) kuviona na wala sina tatizo kwa anayenionyesha vitu hivyo (chupi/matiti)!
Pamoja na kupenda sana kuviona vitu hivyo, napata tatizo kwa wanaovionyesha pasipo ridhaa yangu. Sitaki vitu hivi nivione kwenye daladala, sitaki kuviona sokoni au dukani wala sitaki kuviona ofisini!. Nataka kuviona chumbani tukiwa wawili tu. Kwa nini mabinti/wanawake wanavionyesha wazi wazi pasipo makubaliano maalumu na wanaoviona?
Kumeibuka tabia ya kuonyesha matiti (chakula ya ntoto) hadharani, nguo zinakatwa makusudi, matiti yanaminywa na kuonyeshwa PIA Kumeibuka tabia ya kuvaa suluali si tu kwamba zinabana bali pia zinazoonyesha chupi pindi ikitokea binti/mwanamke akawa anachambua nguo au machungwa sokoni au anashuka kwenye daladala na mbaya zaidi ni pale anapojikwaa.
Suala hili si la mabinti ambao hawakubahatika kwenda shule, haliwahusu tu wa darasa la saba, wala wa kidato cha nne, suala hili linawahusu pia hata wenye digrii na masta. Nimejaribu kuwazuia baadhi (wamenitii) na wengine wamekataa kwa maana ya utandawazi na kwa maana ya muda tulionao!
Napenda sana kuona ILA mahali panapostahili kwa makubaliano maalumu.
Nawakilisha
,