Jambazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 16,642
- 18,643
Mkuu kinacho matter ni papuchi! Vipi naskia zina baridi yaani zimepoa sana ni kweli au maneno ya mtaani?Mkuu ni ile rangi yao imekubabaisha. Ukiondoa ule weupe wao sioni kama wana cha ziada. Nilipata nafasi ya kuishi mitaa ya mlandege kwa shughuli maalum kama miezi 2 hivi. Kama baada ya wiki 3 nikajitwalia mmoja ki utani utani. Ila kwenye yale mambo yetu mi niliona ni kawaida tu tena hata wa bara wana mautundu kuwazidi. Sema kwa rangi ya ngozi aisee lazima upagawe