Napenda mke wangu atokee Zanzibar..Inshaallah

Simba mweupe

Member
Aug 31, 2014
61
20
>Ni Sifa Zipi Nazotakiwa Kuwa Nazo Ili Nipate Mke Toka Zanzbar.!!

............

>Sambamba na Hil, Hebu Nionjesheni Sifa Zao Kulingana na Sehemu au Jamii Watokayo, Japo Najua Chache.

.........

Pia, Naomba Kujua Process/Hatua Nzima Hadi Kumweka Ndani (Kuwa Mke.. Mama Watoto, My No.1)

>Nawasikiliza/ Karibuni........!!!!!
 
>Ni Sifa Zipi Nazotakiwa Kuwa Nazo Ili Nipate Mke Toka Zanzbar.!!

............

>Sambamba na Hil, Hebu Nionjesheni Sifa Zao Kulingana na Sehemu au Jamii Watokayo, Japo Najua Chache.

.........

Pia, Naomba Kujua Process/Hatua Nzima Hadi Kumweka Ndani (Kuwa Mke.. Mama Watoto, My No.1)

>Nawasikiliza/ Karibuni........!!!!!
Muombe M/Mungu Inshaallah atakujaalia
 
1-uwe muislam
2-uwe na tabia njema
3-uwe unajiweza kwa kipato
4-uwe na kwako(usipange)..hii ni added advantage
5-uwe na nasabu ya kueleweka na isiyokuwa na historia ya mabalaa kama vile tabia ya ujambazi,wizi,ushirikina na maradhi ya kurithi.
6-kutegemeana na familia husika na asili yao,kama ni familia yenye asili ya kiarabu au uhindini basi nawe ukiwa na asili ya hizo race basi pia itakuwa ni added advantage.hapa ukiwa mweusi tii basi inabidi uwe na pesa ya kutosha....

PROCESS:
1-ukishampata uliyemridhia,utampeleka mshenga kwao ili akapose.
2-ukikubalika,utatajiwa mahari yao,siku hizi huwa wanapenda sana fenicha za ndani kama vile kitanda na godoro lake(ukubwa kulingana na matashi yao),kabati kubwa la milango mitatu la nguo,kabati la vyombo,dressing table....na kapesa ka wazazi kama laki tatu mpk tano. approximately mahari jipange kuanzia million mbili mpk 2.5m
3-mkiwa tayari itapangwa siku ya kupeleka mahari ukweni.baada ya hapo w.ume mtapanga siku ya kwenda kuoa kwa mbaali mkishirikisha upande wa kikeni,japo nyie ndo mtakuwa na power ya kuamua zaidi.
4-Ndoa....utakabidhiwa rasmi zigo lako.
5-Talaka ikiwa mtashindwana ktk iyo ndoa yenu kwa sababu moja au nyengine na hii ni baada ya kufata taratibu zote za talaka kwa mujibu wa dini ya kiislam.

Wengine wataongezea!
 
1-uwe muislam
2-uwe na tabia njema
3-uwe unajiweza kwa kipato
4-uwe na kwako(usipange)..hii ni added advantage
5-uwe na nasabu ya kueleweka na isiyokuwa na historia ya mabalaa kama vile tabia ya ujambazi,wizi,ushirikina na maradhi ya kurithi.
6-kutegemeana na familia husika na asili yao,kama ni familia yenye asili ya kiarabu au uhindini basi nawe ukiwa na asili ya hizo race basi pia itakuwa ni added advantage.hapa ukiwa mweusi tii basi inabidi uwe na pesa ya kutosha....

PROCESS:
1-ukishampata uliyemridhia,utampeleka mshenga kwao ili akapose.
2-ukikubalika,utatajiwa mahari yao,siku hizi huwa wanapenda sana fenicha za ndani kama vile kitanda na godoro lake(ukubwa kulingana na matashi yao),kabati kubwa la milango mitatu la nguo,kabati la vyombo,dressing table....na kapesa ka wazazi kama laki tatu mpk tano. approximately mahari jipange kuanzia million mbili mpk 2.5m
3-mkiwa tayari itapangwa siku ya kupeleka mahari ukweni.baada ya hapo w.ume mtapanga siku ya kwenda kuoa kwa mbaali mkishirikisha upande wa kikeni,japo nyie ndo mtakuwa na power ya kuamua zaidi.
4-Ndoa....utakabidhiwa rasmi zigo lako.
5-Talaka ikiwa mtashindwana ktk iyo ndoa yenu kwa sababu moja au nyengine na hii ni baada ya kufata taratibu zote za talaka kwa mujibu wa dini ya kiislam.

Wengine wataongezea!
90% sikubaliani na wewe. Mimi namshauri kama anataka mke mwema basi atafute huko huko alipo maana zanzibar ya miaka iliyopita ni tofauti na ya sasa nawasilisha.
 
Mkuu ni ile rangi yao imekubabaisha. Ukiondoa ule weupe wao sioni kama wana cha ziada. Nilipata nafasi ya kuishi mitaa ya mlandege kwa shughuli maalum kama miezi 2 hivi. Kama baada ya wiki 3 nikajitwalia mmoja ki utani utani. Ila kwenye yale mambo yetu mi niliona ni kawaida tu tena hata wa bara wana mautundu kuwazidi. Sema kwa rangi ya ngozi aisee lazima upagawe
 
90% sikubaliani na wewe. Mimi namshauri kama anataka mke mwema basi atafute huko huko alipo maana zanzibar ya miaka iliyopita ni tofauti na ya sasa nawasilisha.
mkuu kama umemuelewa mleta mada,hajaja hapa tumshauri juu ya wapi akaoe bali ashaamua wapi ana malengo ya kwenda kuchukua jiko(zenji)...anachotaka hapa ni tumjuze tu SIFA gani inabidi yy muoaji awe nazo,PROCESS za kuoa zenji na pia SIFA ZA HAO W.WAKE wa kizenji...mimi nimemsaidia kumpa mwanga juu ya Sifa ambazo yeye anatakiwa kuwa nazo na pia mchakato wa kuoa...sasa wewe km unazijua sifa zao hao w.wake ndo umsaidie pia...sasa itakuwa ni kunikosea heshima unaposema hukubaliani na mimi bila ya kudispute hoja zangu kulingana na mada husika na badala yake kuleta mada mpya kabisaaa.
 
90% sikubaliani na wewe. Mimi namshauri kama anataka mke mwema basi atafute huko huko alipo maana zanzibar ya miaka iliyopita ni tofauti na ya sasa nawasilisha.
Ni kweli maana zenji ya sasa sio kabisa aina tofauti na tandika au manzese. maana niko chukwani mwaka wa pili sasa kikazi ila mazingira ya uku ni ovyo tu
 
1-uwe muislam
2-uwe na tabia njema
3-uwe unajiweza kwa kipato
4-uwe na kwako(usipange)..hii ni added advantage
5-uwe na nasabu ya kueleweka na isiyokuwa na historia ya mabalaa kama vile tabia ya ujambazi,wizi,ushirikina na maradhi ya kurithi.
6-kutegemeana na familia husika na asili yao,kama ni familia yenye asili ya kiarabu au uhindini basi nawe ukiwa na asili ya hizo race basi pia itakuwa ni added advantage.hapa ukiwa mweusi tii basi inabidi uwe na pesa ya kutosha....

PROCESS:
1-ukishampata uliyemridhia,utampeleka mshenga kwao ili akapose.
2-ukikubalika,utatajiwa mahari yao,siku hizi huwa wanapenda sana fenicha za ndani kama vile kitanda na godoro lake(ukubwa kulingana na matashi yao),kabati kubwa la milango mitatu la nguo,kabati la vyombo,dressing table....na kapesa ka wazazi kama laki tatu mpk tano. approximately mahari jipange kuanzia million mbili mpk 2.5m
3-mkiwa tayari itapangwa siku ya kupeleka mahari ukweni.baada ya hapo w.ume mtapanga siku ya kwenda kuoa kwa mbaali mkishirikisha upande wa kikeni,japo nyie ndo mtakuwa na power ya kuamua zaidi.
4-Ndoa....utakabidhiwa rasmi zigo lako.
5-Talaka ikiwa mtashindwana ktk iyo ndoa yenu kwa sababu moja au nyengine na hii ni baada ya kufata taratibu zote za talaka kwa mujibu wa dini ya kiislam.

Wengine wataongezea!
Asante sana...mekuelewa broo

#ntashika comment yenye maana na isiyokuwa na maana ntaiacha iende zake..

Wa znzbr mko wapi.....!!!!
 
Ni kweli maana zenji ya sasa sio kabisa aina tofauti na tandika au manzese. maana niko chukwani mwaka wa pili sasa kikazi ila mazingira ya uku ni ovyo tu
Pinga au kubali kwa hoja..si kwa meneno na porojo.!! Tuko hapa kwajili ya kujifunza.. Cmm tu wako wwngne pia wanapenda kujua zaidi kuhusu mada yng... Asante
 
Mkuu ni ile rangi yao imekubabaisha. Ukiondoa ule weupe wao sioni kama wana cha ziada. Nilipata nafasi ya kuishi mitaa ya mlandege kwa shughuli maalum kama miezi 2 hivi. Kama baada ya wiki 3 nikajitwalia mmoja ki utani utani. Ila kwenye yale mambo yetu mi niliona ni kawaida tu tena hata wa bara wana mautundu kuwazidi. Sema kwa rangi ya ngozi aisee lazima upagawe
Mkuu kinacho matter ni papuchi! Vipi naskia zina baridi yaani zimepoa sana ni kweli au maneno ya mtaani?
 
Mkuu ni ile rangi yao imekubabaisha. Ukiondoa ule weupe wao sioni kama wana cha ziada. Nilipata nafasi ya kuishi mitaa ya mlandege kwa shughuli maalum kama miezi 2 hivi. Kama baada ya wiki 3 nikajitwalia mmoja ki utani utani. Ila kwenye yale mambo yetu mi niliona ni kawaida tu tena hata wa bara wana mautundu kuwazidi. Sema kwa rangi ya ngozi aisee lazima upagawe
Mkuu kinacho matter ni papuchi! Vipi naskia zina baridi yaani zimepoa sana ni kweli au maneno ya mtaani?
 
Mkuu ni ile rangi yao imekubabaisha. Ukiondoa ule weupe wao sioni kama wana cha ziada. Nilipata nafasi ya kuishi mitaa ya mlandege kwa shughuli maalum kama miezi 2 hivi. Kama baada ya wiki 3 nikajitwalia mmoja ki utani utani. Ila kwenye yale mambo yetu mi niliona ni kawaida tu tena hata wa bara wana mautundu kuwazidi. Sema kwa rangi ya ngozi aisee lazima upagawe
Mkuu kinacho matter ni papuchi! Vipi naskia zina baridi yaani zimepoa sana ni kweli au maneno ya mtaani?
 
Back
Top Bottom