Hivi mzee kifimbo cheza kapotelea wapi?
mimi aunishukuru eeh
loh! Inakera kusoma,
Huu ni Unafki Tu!!!
kaka usifuate mkumbo sababu wadau wamenikosoa, nawe ukaiga toa mawazo yako, usiangalie mtu kaandika nini.
Hivi unapata wapi audacity ya kutetea utovu wako wa nidhamu kwa lugha ya kiswahili na kwa audience ya JF?
mbna ww unatuchanganyia kiswahili na kiingereza unajiona uko sahihi na ww! Hauko serious ht ww kama mwenzako anakosoa halafu kaweka neno magumashi, huna jipya ndugu potea.
Haya kijana, masomo mema huko chuo kikuu.
Ni vizuri kuwa na msimamo, lakini ni vizuri zaidi kuhakiki usahihi wa yale unayotaka kusimamia kabla hujafanya hivyo.
Sasa hizo "xana" ndo nini? Wewe kijana mbona unaharibu kiswahili makusudi?
hujaelewa nn hapo? Au ndo uonekane umechangia mada acha hzo hbr.
kiswahili kibovu sana mpaka najisikia kutapika au ndio nyie darasa la 7 mnaopita kimagumashi?
Hahahaha.... anaelekea UDSM huyu...
Hapa sio FB wewe..peleka huko huko hizo lugha zako.