aspen JF-Expert Member Jul 13, 2011 501 165 Jun 24, 2012 #1 Wakuu hii imekuwa dream kwangu napenda kuwa mod ushauri tafadhali
Kongosho JF-Expert Member Mar 21, 2011 35,999 24,163 Jun 24, 2012 #3 tuma maombi kwa inviy. Ila sifa ya mod ni busara, zipo?
ndetichia JF-Expert Member Mar 18, 2011 27,772 6,555 Jun 24, 2012 #4 tuma maombi umsaidie AB kule JF ya kenya..
CUTE JF-Expert Member Mar 5, 2012 1,230 591 Jun 24, 2012 #5 njiwa said: Your dream is our nightmare.. Click to expand... njiwa teh teh teh jamani njiwa
mtotowamjini JF-Expert Member Apr 23, 2012 4,526 1,169 Jun 24, 2012 #6 kwanini unataka kua mod..ili u ban watu, ucheki PM zao au nin?
cacico JF-Expert Member Mar 27, 2012 8,362 7,797 Jun 24, 2012 #8 wakikupitisha, naomba kukutawadha! kwa vitabu vya dini zote, lolest!
Meritta JF-Expert Member Apr 26, 2011 1,303 292 Jun 24, 2012 #9 Mamndenyi said: Kwa hiyo. Click to expand... jamani mama si anaomba ushaur
BADILI TABIA JF-Expert Member Jun 13, 2011 32,772 23,162 Jun 24, 2012 #10 nakuteua kuwa mod wa jukwaa la utambulisho... Kazi hii utaianza mara moja
A Ave Ave Maria JF-Expert Member Apr 22, 2011 10,707 5,664 Jun 24, 2012 #11 Hivi kazi ya mod ni nini, kupiga ban au?? Btw, natumai na wao wameshauona huu ujumbe ndo maana hata post yako waliihamishia huku!
Hivi kazi ya mod ni nini, kupiga ban au?? Btw, natumai na wao wameshauona huu ujumbe ndo maana hata post yako waliihamishia huku!
figganigga JF-Expert Member Oct 17, 2010 25,492 54,890 Jun 24, 2012 #12 mkuu kuna tangazo jf. moderator0anahitajika. kigezo unatakiwa uwe kenya. au subili Fung asitafu. mia Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
stineriga JF-Expert Member Jun 20, 2012 2,172 886 Jun 24, 2012 #13 penda kuwa moderator, lakini usitamani uwe moderator ili uwaban watu kwa kuwaonea...
idawa JF-Expert Member Jan 20, 2012 25,284 38,312 Jun 24, 2012 #14 unataka kupiga ban wapinzani wako.
Kitoabu JF-Expert Member Jul 7, 2011 10,326 10,943 Jun 24, 2012 #17 Erickb52 said: Ni pm nikuwezeshe Click to expand... harufu ya rushwa inanukia hapa
Akagando JF-Expert Member May 24, 2012 533 116 Jun 24, 2012 #18 Kuwa na Amani moyoni nawe utafanikiwa.
CUTE JF-Expert Member Mar 5, 2012 1,230 591 Jun 25, 2012 #19 Erickb52 said: Ni pm nikuwezeshe Click to expand... Erickb52 we kwani umesikia huyo ni (ke) mpaka ukamuwezeshe
Erickb52 said: Ni pm nikuwezeshe Click to expand... Erickb52 we kwani umesikia huyo ni (ke) mpaka ukamuwezeshe
CUTE JF-Expert Member Mar 5, 2012 1,230 591 Jun 25, 2012 #20 Speedy said: harufu ya rushwa inanukia hapa Click to expand... bora umeshtukia mana hii ni ya waziwazi
Speedy said: harufu ya rushwa inanukia hapa Click to expand... bora umeshtukia mana hii ni ya waziwazi