Slave
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 5,314
- 2,635
kwanza kabisa napenda kutoa shukrani zangu kwa uongozi wote wa jamii forum kwani bila wao nisingeweza kukutana na watu walio nisaidia ushauri na muongozo wa namna ninavyo weza kupata tiba ya masikio. pili niwashukuru
DR PHONE Wallet.nguruvi3.rubi.fredwash.nsiande.paulss.gsana
nasema nina shukuru sana na ninawaombea dua njema kwa mungu awape imani na roho ya huruma.awaongezee ujuzi wa kufikiri,hekima busara na nguvu ya kujitolea.
DR PHONE Wallet.nguruvi3.rubi.fredwash.nsiande.paulss.gsana
nasema nina shukuru sana na ninawaombea dua njema kwa mungu awape imani na roho ya huruma.awaongezee ujuzi wa kufikiri,hekima busara na nguvu ya kujitolea.