Wana JF wenzangu , natowa msimamo wangu mapema juu ya uchaguzi wa mwaka 2015. Napenda chama makini na chenye Demokrasia ya kweli kama CHADEMA. Sababu za kupenda washinde ziko kwenye umakini na Demokrasia.
Kwa upande wa umakini Naamini Raisi wetu atakuwa makini kiasi kuwa kila kazi ataifanya yeye na lile suala la kuweka Mawaziri litakuwa hakuna haja. Rais wetu kwa umakini wake atashughulikia mambo yote hata ile mifereji kule kwetu uswanzi. Haya atafanya yeye mwenyewe.
Kwa upande wa Demokrasia najuwa tutakuwa tuna uhuru wa kufanya lolote tunalolitaka. Hatutokuwa na haja ya Katiba ili Wapinzani wetu waweze kufanya lolote watakalo. Hawa kina Mwema na Kova wataondoshwa kwani hawana kazi. Kila mtu akijisikia atweza kufanya maandamano kwenda kwa Rais na yeye mwenyew atawapa jibu kwa matatizo yao.
VIVA CHADEMA 2015.
Kwa upande wa umakini Naamini Raisi wetu atakuwa makini kiasi kuwa kila kazi ataifanya yeye na lile suala la kuweka Mawaziri litakuwa hakuna haja. Rais wetu kwa umakini wake atashughulikia mambo yote hata ile mifereji kule kwetu uswanzi. Haya atafanya yeye mwenyewe.
Kwa upande wa Demokrasia najuwa tutakuwa tuna uhuru wa kufanya lolote tunalolitaka. Hatutokuwa na haja ya Katiba ili Wapinzani wetu waweze kufanya lolote watakalo. Hawa kina Mwema na Kova wataondoshwa kwani hawana kazi. Kila mtu akijisikia atweza kufanya maandamano kwenda kwa Rais na yeye mwenyew atawapa jibu kwa matatizo yao.
VIVA CHADEMA 2015.