KayScarpetta
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,251
- 774
...unaifungia television ya taifa kuonyesha wananchi habari za bunge, unawanyima wananchi haki wa kufuatilia habari zinazohusu uendeshwaji wa serikali yao na maendeleo ya taifa lao, unawakosesha wananchi haki na uhuru wa kuchangia mawazo mbadala kuhusu mustakabadhi wa taifa lao... lakini badala yake unaenda ku-promote application yenye habari zinazohusu maisha binafsi ya mtu. Kweli hii nchi ni ngumu sana.