NAPE: Watu wameshindwa kujitokeza kupiga kura wakiohofia kumwagiwa Tindikali

Binafsi ningependa kusikia jibu la swali hili. Kwani nami ninalo hivyo hivyo. CDM imetambulika zaidi kutokana na kuongoa vita dhidi ya ufisadi; lakini Igunga ambako anatoka RA - mwenye kuhusishwa na kashfa kadha wa kadha za ufisadi na ambaye alithubutu kujitokeza siku ya ufunguzi wa kampeni - hoja ya ufisadi haitajwi, RA hatajwi wala kuonesha kuwa ni maamuzi ya wana igunga yalimleta RA.. .. nasubiri sana jibu la swali hili maana linaendana na swali la kwanini Kafumu hakuusishwa na RA katika mambo fulani fulani...
Mkuu mie nadhani kila mahali panapaswa kupeleka ujumbe ule utakao eleweka kwa wahusika. Kama watu waliangua kilio Rostam alipotangaza kuachia ngazi (Ingawa hatuna uhakika kama kilio kile ni cha kweli au walinunuliwa kulia) muda huu wa kampeni ulikuwa mfupi sana kuwaelewesha kuwa mliye mlilia ndio fisadi mkubwa na chanzo cha matatizo mengi hapa nchi.
MMKJ, inahitaji muda wa kutosha kumshawishi Padre kuwa shekhe au Shekh kuwa Padre maana sio jambo analoliamini. Mbinu ya kuliweka pembeni kwa muda suala hilo ilikuwa muafaka
 
Kamanda Mwanakijiji,
NIKUSHUKURU KWA DHATI KUPIGIA MSTARI SWALI LANGU, MAANA TUSIJE TUAKAJADILI KISHABIKI TU.. SALUTE YOU KAMANDA...
Ndio maana watu wanapata mashaka na uwezo wako, umeshindwa hata kuona mantiki ya msisitizo wa Mwanakijiji kwenye swali lako ambalo kiuhakika sio swali bali umetuhumu. Rudi umsome tena utaelewa. Kama uwezo huo huna tafuta wa kukusaidia (najua kwa nafasi yako unao wengi). Hoja za wasomi uwe makini nazo sana.
 
Wengi Niliwahiji Wameogopa kupiga kura sababu hakukuwa na Mwislamu wa kuchagua kuwa Mbunge

Nape hakuwa Igunga alikuwa anaranda randa Singida, Mwanza, Arusha na kwingineko
Na wale wachache waliojitokeza waliamua kukitia adamu Chadema kwa afadhali kuipigia CCM.
 
Kama kweli Nape ndio amesema kuwa watu hawakujitokeza kupiga kura kwa kuogopa kumwagiwa Tindikali then tuna Kazi ndefu ya kufanya mabadiliko katika hili suala la voting pattern hapa nchini..Hali itaendelea kuwa hii hii,Kama vijana tunaowatengema wanaleta utani mpaka kwenye masuala ya muhimu..Ina maana Nape hujui ukweli wa kwanini turn out huwa inakuwa ndogo ili tuisaidie nchi yetu kwa Siku zijazo turn out iongezeke?be serious,maneno hayo waachie kina Tambwe ndio wayaseme lakini sio wewe!
 
Gracious,
SI KAZI YANGU KUWAFURAHISHA CHANDIMU, WALA CHANDIMU HAWANA MAMLAKA YA KUNIFUNDISHA CHA KUFANYA, ETI LEO NIFANYE AMBACHO CHANDIMU MNATAKA NIFANYE??? ,imekla kwenuu.... Mwl. Aliwhi sema...... Ukiona adui yako anazifia slaa zote za maangamizi jua umekosea. FURAHA YANGU NI KUWAKERA CHANDIMU SO MKIKEREKA NIJUA NIKO VIZUIIIIIII

Nape ndg yangu, mbona hujitambui? Au akili ndo hazimo kabisa? Jibu hoja kama kiongozi acha kuleta mipasho au kama we msanii wa taarabu sawa. CHANDIMU ndo nini kama sio upunguani unakusumbua.
 
Kamanda Mwanakijiji,
NIKUSHUKURU KWA DHATI KUPIGIA MSTARI SWALI LANGU, MAANA TUSIJE TUAKAJADILI KISHABIKI TU.. SALUTE YOU KAMANDA...

naona utaota mwaka mzima kwa kupata support ya mwanakijiji, bilashaka utaitumia kama reference yako hata kwenye thread nyingine zisizokuwa na uhusianao wowote.
 
Kama kweli Nape ndio amesema kuwa watu hawakujitokeza kupiga kura kwa kuogopa kumwagiwa Tindikali then tuna Kazi ndefu ya kufanya mabadiliko katika hili suala la voting pattern hapa nchini..Hali itaendelea kuwa hii hii,Kama vijana tunaowatengema wanaleta utani mpaka kwenye masuala ya muhimu..Ina maana Nape hujui ukweli wa kwanini turn out huwa inakuwa ndogo ili tuisaidie nchi yetu kwa Siku zijazo turn out iongezeke?be serious,maneno hayo waachie kina Tambwe ndio wayaseme lakini sio wewe!
Tunaomba ujibu swali alilouliza mwanakijiji
 
Kama kweli Nape ndio amesema kuwa watu hawakujitokeza kupiga kura kwa kuogopa kumwagiwa Tindikali then tuna Kazi ndefu ya kufanya mabadiliko katika hili suala la voting pattern hapa nchini..Hali itaendelea kuwa hii hii,Kama vijana tunaowatengema wanaleta utani mpaka kwenye masuala ya muhimu..Ina maana Nape hujui ukweli wa kwanini turn out huwa inakuwa ndogo ili tuisaidie nchi yetu kwa Siku zijazo turn out iongezeke?be serious,maneno hayo waachie kina Tambwe ndio wayaseme lakini sio wewe!

Well said Dada Regia,tatizo viongozi,wanachama,na washabilki wa CCM wanakabiliwa na ugonjwa wa UWUKU(upungufu wa uwezo wa kufikiri) Baba wa Taifa aliwai sema kwenye moja ya hotuba zake "Moja ya tatizo kubwa linaliwakabili waafrika ni umaskini wa mawazo,na hii ni moja ya tatizo kubwa sana" nashukuru kwa namna ambavyo Nape(Nepi) alivyodhihirisha uwezo wake wa kufikiri....
 
Na wale wachache waliojitokeza waliamua kukitia adamu Chadema kwa afadhali kuipigia CCM.

Mkuu usomeki kabisa,yaani ni full uharo..hapo kwenye red sijaelewa...kama adamu na hawa au?
 
Tunaomba ujibu swali alilouliza mwanakijiji

Wewe huna jibu? Yani unategema dada Regia ndio akujibie? akili yako ni majitaka kiasi hicho? hili ndio tatizo la watu wa CCM..ugonjwa wa UWUKU(upungufu wa uwezo wa kufikiri) unawakabili sana...njoo mirembe nikupe hofa ya matibabu,ili uwezo kuchanganua mambo badala ya kutegemea akili za wengine...
 
Katibu wa Itikatdi na Uenezi wa CCM.
Nape, kaongea kwenye taarifa ya habari TBC1, anasema sababu iliofanya watu wachache kujitokeza kupiga kura kwenye jimbo la Igunga, watu walihofiwa kumwagiwa Tindikali.

SOURCE: TBC1 HABARI

Hii mbona kweli 100%
 
Ndio maana watu wanapata mashaka na uwezo wako, umeshindwa hata kuona mantiki ya msisitizo wa Mwanakijiji kwenye swali lako ambalo kiuhakika sio swali bali umetuhumu. Rudi umsome tena utaelewa. Kama uwezo huo huna tafuta wa kukusaidia (najua kwa nafasi yako unao wengi). Hoja za wasomi uwe makini nazo sana.

Uwezo wake wa kujenga hoja umeishia hapo jamani...amezoea kukaa kuongea na akina Lusinde,Mukama,Nchemba nk..hivi unategemea kweli akili ya huyu mtu itakua? Story za Lusinde mnazijua,Nchemba yeye ni wanawake tu,Mukama amezeeka vibaya, Kijana wa miaka zaidi ya 35 kweli anaongea hoja majitaka mpaka unasikitika..lol!!!
 
Wewe huna jibu? Yani unategema dada Regia ndio akujibie? akili yako ni majitaka kiasi hicho? hili ndio tatizo la watu wa CCM..ugonjwa wa UWUKU(upungufu wa uwezo wa kufikiri) unawakabili sana...njoo mirembe nikupe hofa ya matibabu,ili uwezo kuchanganua mambo badala ya kutegemea akili za wengine...

Ww ni mtanzania kweli au mrundi 'hofa' maana yake nini?
 
  • Thanks
Reactions: Omr
Wewe huna jibu? Yani unategema dada Regia ndio akujibie? akili yako ni majitaka kiasi hicho? hili ndio tatizo la watu wa CCM..ugonjwa wa UWUKU(upungufu wa uwezo wa kufikiri) unawakabili sana...njoo mirembe nikupe hofa ya matibabu,ili uwezo kuchanganua mambo badala ya kutegemea akili za wengine...
Hivi wewe ndio secretary wa Regia? Au ndio nyie CDM mnaoficha ID zenu ili mje humu kuongea pumba.
 
Katibu wa Itikatdi na Uenezi wa CCM.
Nape, kaongea kwenye taarifa ya habari TBC1, anasema sababu iliofanya watu wachache kujitokeza kupiga kura kwenye jimbo la Igunga, watu walihofiwa kumwagiwa Tindikali.

SOURCE: TBC1 HABARI
Maskini Nape! the soft target for EL, RA, 6 etc and all oppositions. Ni popo huku hayuko, kule hayupo. Ataishia kama *og tu!
Afadhali marehemu baba yake Moses, alikuwa shushu wa Nyerere na alikuwa mwaminifu kwa mfumo mmoja tu. Huyu ni ndumilakuwili!!!!!!!!!! hafai ni mganga njaa!!!
 
Binafsi ningependa kusikia jibu la swali hili. Kwani nami ninalo hivyo hivyo. CDM imetambulika zaidi kutokana na kuongoa vita dhidi ya ufisadi; lakini Igunga ambako anatoka RA - mwenye kuhusishwa na kashfa kadha wa kadha za ufisadi na ambaye alithubutu kujitokeza siku ya ufunguzi wa kampeni - hoja ya ufisadi haitajwi, RA hatajwi wala kuonesha kuwa ni maamuzi ya wana igunga yalimleta RA.. .. nasubiri sana jibu la swali hili maana linaendana na swali la kwanini Kafumu hakuusishwa na RA katika mambo fulani fulani...

Nashukuru Mzee Mwanakijiji kwa comment yako,nahisi umepotoka kwa kiasi fulani kwa kukariri kuwa silaha ya CHADEMA ni issue ya ufisadi tu...Na ndio maana ulipoona kuwa hii silaha haikutumika sana umepata wasiwasi kidogo..well,kwenye vita unapaswa uwe na silaha mbalimbali na mbinu mbalimbali za kuweza kupambana na adui yako,hii ni kwasababu kila silaha au mbinu inafaa kwa mazingira husika tu...

Huwezi ukawa unapigana vita kwenye jangwa ukavaa makombati ya kijani na nyeusi hapo utachemsha,uwezi tumia mshale kwenye vita vya silaha za moto mkuu!! Sasa CHADEMA kutotumia silaha ya ufisadi ni mbinu ya kawaida katika vita,na hata hivyo sidhani kama hii silaha haikutumika kama ambavyo wengi mnasema,baadhi ya maeneo niliwasikia Dr Slaa,na M/Kiti Mbowe wakisema jambo hili....Lazima chama kiwe na mbinu mbadala za kupambana katika uchaguzi,sasa Rostam alikuwa ametoka,utasema alikuwa fisadi itasaidia nini kwa wakati ulipo wakati sio mgombea?

Lakini pia Mwl Kashindye aliyekuwa mgombea wa CDM na Leopald Mahona aliyekuwa mgombea wa CUF walisema wazi kuwa kuna baadhi ya mambo aliyoyafanya Dr Kafumu akiwa kamishina wa Madini yameletea taifa hasara kubwa,sasa mlitaka wasemaje ndio mkubali kuwa walisema?

Conclusively;
Lazima chama kiwe na mbinu mbadala za kupambana,sio lazima kila siku msikie ufisadi! ufisadi! ufisadi! wananchi wanahitaji sera pia,TUTAWAFANYIA NINI na TUTAWATOAJE KWENYE UMASKINI HUU..Tusikariri!!!!
 
Advocate Jasha,



CCM TUMETHUBUTU, TUMEWEZA NA TUNASONGA MBELE....... HIVI KUNA MTU ANA USHAHIDI WA KUZUIWA KWA ULIOWATAJA? au ni dhana yako tu ya kufikirika? BAHATI MBAYA NA POLE HUNA ABAI YA KUTOSHA....UNAJUA MAMA KILANGO KAPITA IGUNGA NA KUMNADI KAFUMU.?? UNAJUA SITA KAFANYA MIKUTANO YA KUMNADI DR. KAFUMU IGUNGA!!!!!!!.

Duh, kweli mlifanya kampeni kisayansi.
 
MM: every politics is local. Ufisadi Kwa maana ya EPA etc Sio issue vijijini. Ufisadi wa kijijini ni manyanyaso, kukosa maji, barabara, bei kupanda etc. Na usisahau Rostam aliachia ubunge Kwa sababu ya chama chake na Sio shinikizo la wananchi waliomchagua, Kwa Hiyo ilikuwa ni muhimu kudeal na chama chake badala ya kudeal naye moja Kwa moja. Kabla ya kudeal na Rostam ilikuwa ni muhimu kwanza ujue Kwa Nini walimchagua in the first place.

I'm absolutely convinced that was the wrong strategy. Kujiuzulu kwa RA kulitokana na kuchangiwa kwa kiasi kikubwa kwa kuhusishwa kwake na ufisadi. Waliomtaja hivyo na kumhusisha nao ni CDM kwa kumuweka kwenye orodha yao akiwa mtu wa nane. Sasa aidha CDM waliamini hivyo au walisema tu; kama waliamini they should have taken credits for pushing him out of office. Walimuacha aamue kutoka na kuelezea kutoka kwako kunahusiana na CCM na siyo kitu kingine.

Ni kweli all politics is local but its only local to certain extent. Wakati maamuzi ya kitaifa au matukio ya kitaifa yanapoathiri maisha ya watu katika mahali walipo then politics seize to be local. Kinachokuwa ni kuwa local politics go national. And in some instances even international. Maamuzi ya kitaifa yaliyofanywa na RA kwa miaka kumi na tano yamechangia local politics za Igunga. How can one talk about shule, barabara, maji bila kuzungumzia competence ya mbunge wa hapo? Daraja la Mbutu kwa mfano kwanini haikuhojiwa RA the most powerful person, rich, na anayependwa sana alifanya nini? CDM hawakutaka kumtai a national figure (RA) to local politics (za Igunga)? Or RA na mambo yake ni makubwa sana yanafaa kuzungumzwa kitaifa lakini siyo kwenye jimbo lake?

HIvi hata kuuliza alisomea shule gani kuna mtu aliuliza? Au labda CDM iliogopa kuwagawa watu na kupoteza kura? Inawezekana vipi kuzungumzia maji, afya, mashule, barabara n.k bila kuhusisha na ufisadi? siyio kwamba gharama ya ufisadi hulipwa na maskini kama kule Igunga? Au haiiwezekani kuonesha jinsi gani maamuzi ya Mbunge na taifa yanaweza kuathiri maisha ya watu wa mahali fulani?
 
  • Thanks
Reactions: Omr
Hivi wewe ndio secretary wa Regia? Au ndio nyie CDM mnaoficha ID zenu ili mje humu kuongea pumba.

Ulikuwa ujui kuwa mie ndio secretary wa Dada Regia? Akili yako haina uwezo wa kuongea na mimi,nenda kakae na akina Nape mliofanana nao uwezo wa kufikiri...
 
Back
Top Bottom