King Suleiman
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 496
- 327
Wanajamvi,
USHABIKI MWINGINE MATATIZO SANA! MATUSI YANAYOSEMWA HAPA KISA NI KIMOJA TU CDM WAMAUMIZWA NA AINA YA SIASA NINAYOENDESHA BASI! HIVI MNACHEZA MPIRA TIMU PINZANI INAWEKA MCHEZAJI ASIYEKUWA NA UWEZO KABISA HALAFU NYIE MNAANZA KUWAAMBIA WAMTOE WAWEKE MWENYE UWEZO INAINGIA AKILINI HII??? KWANINI MSITUMIE UDHAIFU HUO KAMA KWELI UPO KUJENGA TIMU YENU ISHINDE???? BADALA YAKE UZOEFU UNAONYESHA HUWA INATUMIKA NGUVU KUBWA KUTAKA MCHEZAJI MWENYE MADHARA KWENU ASICHEZE ILI MCHEZO UWAENDEE AFADHALI... UKIONA MATUSI NA VISHAWIWSHI KUJARIBU KUONYESHA NAPE ANAVYOVURUGA UTADHANI WANA MAPENZI YA DHATI NA CCM.. CHANGAMOTO KWENU KAMA NI WA KWELI NYAMAZENI TUMIENI UDHAIFU HUO KUVIJENGA VYAMA VYENU NA KUBOMOA CCM... VINGINEVYO HAMNA TOFAUTI NA MACHOZI YA MAMBA ....
sasa ndio nimemini wewe una title ya MC wa sherehe watoto wa mjini wanaita Msema chochote au ukienda mbali zaidi mropokaji, kwa akili zako finyu ulizopata Nsumba sec. unadhani wote tunafurahishwa na upupu unaoropoka kila ukiwa kwenye media.
wewe zinakufaa harusi, vipaimara na sherehe za uswahilini ukawe MC maana sioni tofauti kati ya MC na wewe Nape, unajiabisha sana kijana wangu.