Nape Nnauye, kupitia taarifa ya habari Chanel 10 anadai wote walioanzisha vyama pinzani wametoka CCM na kwamba walikuwa failures kule(watu walioshindwa kufuata taratibu ndani ya CCM, wamezoea vya kunyonga!)
Swali kwake:
Alipoenda kuanzisha CCJ, alikuwa winner?
Hawa watoto wa nje wa CCM wana matatizo sana
Eeeee, sijakuelewa mkuu, naomba unifafanulie
Nape na William ni watoto waliozaliwa 'nje' ya ndoa
kwa hiyo Nepi ni Mwana Haramu.
Well said, wape wape hao vilaza vidonge vyao. Leo nimeamini kwa mara nyingine kuwa Nape mwana wa Nnauye ni jembe.."WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Nape na William ni watoto waliozaliwa 'nje' ya ndoa
Ukiona kijana wa kizazi hiki bado yuko CCM mtazame kwa makini utagundua mengi