Michelle Hilton
Senior Member
- Jun 26, 2011
- 141
- 15
Ur ryt ndgu
Nape anafanya kazi nzuri sana kwa sasa ila Upinzani watamuelewa siku si nyingi.Nafikiri Slaa kashamuelewa au niseme wameshapatana kwenye mawimbi wanayoongelea.Lengo lao ni moja ila kila mtu ana njia tofauti. TUTAFIKA TU bandugu.............