Wa kusoma
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,454
- 2,975
CHEKI HIZI STORY WALIZOKUWA WANAPIGA NAPE NA MNYIKA WALIPOKUTANA MSIBANI JUZI
"Nape:We dogo hivi kwa nini Hukuniachia jimbo la ubungo?"
Mnyika:Kwani mimi? si Mwenyekiti wenu akamweka yule mama?
Nape:Halaf mkanibania kujiunga kwenu....
Mnyika:Ujiunge ili ugombee ubungo....!kwani mie sitaki ubunge?
Nape:Anyway....!nikitaka kujiunga CDM inakuwaje??
Mnyika:Acha tamaa dogo,kwanza we si ulipewa u-DC Masasi? na huku unataka,Katibu mwenezi wewe,gamba wewe,CCJ wewe...! duh ndo maana wenzio wanakuita rafiki wa David Cameroon
Nape:Naona umeanza kuingia mpaka ndani,utavimba si muda dogo.......
Mnyika:Fisadi tu weweeeeeeeee......................
"Nape:We dogo hivi kwa nini Hukuniachia jimbo la ubungo?"
Mnyika:Kwani mimi? si Mwenyekiti wenu akamweka yule mama?
Nape:Halaf mkanibania kujiunga kwenu....
Mnyika:Ujiunge ili ugombee ubungo....!kwani mie sitaki ubunge?
Nape:Anyway....!nikitaka kujiunga CDM inakuwaje??
Mnyika:Acha tamaa dogo,kwanza we si ulipewa u-DC Masasi? na huku unataka,Katibu mwenezi wewe,gamba wewe,CCJ wewe...! duh ndo maana wenzio wanakuita rafiki wa David Cameroon
Nape:Naona umeanza kuingia mpaka ndani,utavimba si muda dogo.......
Mnyika:Fisadi tu weweeeeeeeee......................