kwa jinsi mnyika anvyofanya kazi na kama atendelea hivyo hivyo, 2015 wala hahitaji kupiga kampeni hata akigombea na JK
kazi gani aliyofanya mnyika mpaka sasa? aaah kweli nilimuona kwenye maandamano kanda ya ziwa akiwakimbia wananchi walio mpa kura huku wakibomolewa na kupewa vitisho, eti yeye akawa anaongelea kwenye bomba.nadhani hiyo ni kazi yake ambayo amesha tuonesha wana ubungo