Lavie
Member
- Apr 3, 2012
- 60
- 15
Tangu kujiondoa baadhi ya viongozi CCM na kwenda CHADEMA, umekuwa unatoa kauli za kujifariji na zisizo na point hata kidogo, jamii haikuelewi kabisa, Chama Chako kimeoza, kinanuka, kinakufa taratibu, acha utoto, kuna tatizo hapo CCM, Sema kweli angalau usaidie Chama chako, hata Idd Amin wakati majeshi ya Tanzania yameiteka Kampala aliendelea kutangaza kuwa bado yuko imara, hatimae akatorokea Saudi Arabia.
Toa kauli za ukweli ingawa unauma. CCM si Chama Cha Ukombozi tena ndio maana watu wanahama kwa kasi. Historia itakuhukum usidhani tutakusahau kwa unayoyafanya leo, Utawajibishwa wewe na genge la wezi wenzako ndani ya CCM mda utapofika, mnaifanya nchi hii kama mali yenu binafsi, wako wapi kina Mobutu?
Gadaffi, Samuel doo, n.k? Mtakuja jibu yote haya tena kwa machungu. Wananchi tuna machungu sana na nyie pamoja na familia zenu. YANA MWISHO.
Toa kauli za ukweli ingawa unauma. CCM si Chama Cha Ukombozi tena ndio maana watu wanahama kwa kasi. Historia itakuhukum usidhani tutakusahau kwa unayoyafanya leo, Utawajibishwa wewe na genge la wezi wenzako ndani ya CCM mda utapofika, mnaifanya nchi hii kama mali yenu binafsi, wako wapi kina Mobutu?
Gadaffi, Samuel doo, n.k? Mtakuja jibu yote haya tena kwa machungu. Wananchi tuna machungu sana na nyie pamoja na familia zenu. YANA MWISHO.