Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,846
- 5,076
ngoja nikusaidie kijana nape pengine unaanza kuweweseka sasa na kutaka kubadili hali ya mambo.......kuna mbunge mmoja mwanamke tena ni kuna kipindi huwa anaongoza bunge kama mwenyekiti...nenda kamuulie yule mama...ana siri nzito hasa juu ya lowassa na ni msiri wake mkubwa
wewe unatumika sana tena sana na pengine hujijui kama unatumia na ninakwambia kutumiak kwako huko ndiko kutakukosti.......jk mwenyewe na jk amekutana na lowassa one on one mara tatu ili kuzungumza juu ya hali ya mambo....mara zote hizo jk amememuhakikishia edwa kuwa hatadhurika na dhoruba....na wala usijipe matumaini yaani kama vipi wewe kaaa kimya tu lakini ukianza kui-spin issue hii kwa kuja na vitamko vyako shauri yako......
wewe unatumika sana tena sana na pengine hujijui kama unatumia na ninakwambia kutumiak kwako huko ndiko kutakukosti.......jk mwenyewe na jk amekutana na lowassa one on one mara tatu ili kuzungumza juu ya hali ya mambo....mara zote hizo jk amememuhakikishia edwa kuwa hatadhurika na dhoruba....na wala usijipe matumaini yaani kama vipi wewe kaaa kimya tu lakini ukianza kui-spin issue hii kwa kuja na vitamko vyako shauri yako......