Waziri Nape akitoa ufafanuzi juu ya sababu kwanini bunge halionyoshwi live KWA KUSEMA SI UAMUZI WA SERIKALI YA MAGUFULI BUNGE KUTORUKA LIVE. NAKUSEMA NI UAMUZI WA BUNGE NABUNGE NDILO LILILOPITISHA....
kumbuka uoshe vyombo na kudeki sio kusubilia walioenda kazini warudi wakufanyie kazi wewe umekomaa na tv ya mjomba wako 24 7Nipo nakula uroda kwa kufatilia bunge kwa umakini zaidi na wabunge wawakilishi wanashusha nondo .
povu la nini kwa mwenzio?kumbuka uoshe vyombo na kudeki sio kusubilia walioenda kazini warudi wakufanyie kazi wewe umekomaa na tv ya mjomba wako 24 7
wewe povu la nini kwangu!!!povu la nini kwa mwenzio?
kumbuka uoshe vyombo na kudeki sio kusubilia walioenda kazini warudi wakufanyie kazi wewe umekomaa na tv ya mjomba wako 24 7
Labda nondo za urojoNipo nakula uroda kwa kufatilia bunge kwa umakini zaidi na wabunge wawakilishi wanashusha nondo .