Nape refutes Mnyika; TBC takes debate off air

Samahanini kwa kuchelewa kuingia,foleni kiasi Dar!

Lakini kipekee na kwa heshima kubwa namshukuru sana sana Ndugu yangu John Mnyika kwa kuingia na kuamua kuweka mambo sawa hapa ili mjadala uendelee vizuri!

Nilitumia neno KUROPOKA kwasababu nlikosa neno sahihi la kumwambia anayeponda/kusema na hasa yale ambayo kwakweli hayakutokea,tena anayasema kama vile ameyashuhudia kwa macho na masikio yake. Kama kuna mtu KAKWAZIKA kwa neno hilo samahani sana sijakusudia kudharau mchango wa mtu yeyote hapa JF,hata wale ambao kila wakiingia hapa hawataona jema la Nape, nao ni mtazamo wao,nawashukuru,kwani pengine kwa kusema hayo huniwezesha kujiangalia vizuri niko aawa au la.
Sasa ntajibu moja baada ya jingine,karibuni kwa mjadala.

shukurani kwa kuonyesha ustaarabu. huu ndio uungwana
 
Samahanini kwa kuchelewa kuingia,foleni kiasi Dar!

Lakini kipekee na kwa heshima kubwa namshukuru sana sana Ndugu yangu John Mnyika kwa kuingia na kuamua kuweka mambo sawa hapa ili mjadala uendelee vizuri!

Nilitumia neno KUROPOKA kwasababu nlikosa neno sahihi la kumwambia anayeponda/kusema na hasa yale ambayo kwakweli hayakutokea,tena anayasema kama vile ameyashuhudia kwa macho na masikio yake. Kama kuna mtu KAKWAZIKA kwa neno hilo samahani sana sijakusudia kudharau mchango wa mtu yeyote hapa JF,hata wale ambao kila wakiingia hapa hawataona jema la Nape, nao ni mtazamo wao,nawashukuru,kwani pengine kwa kusema hayo huniwezesha kujiangalia vizuri niko aawa au la.

Sasa ntajibu moja baada ya jingine, karibuni kwa mjadala.

Kwa sisi ambao hatukuona kipindi cha televisheni.

Tunaomba utuhabarishe real simple.

Katika uchaguzi kuna contract kati ya wananchi na wagombea nafasi ama la?
 
Nianze na hili la Mkataba au la!

Kwakweli kilichotokea mmoja wa wazungumzaji alizungumza juu ya jinsi sector binafsi inavyotoa fursa kwa vijana kuonyesha uwezo wao na kutoa takwimu jinsi vijana walivyoshika nafasi za juu kwenye sector binafsi,.

Ndipo mtangazaji akauliza je kwenye siasa upimaji wa perfomance unawezekana? Na inawezekana kupima kama inavyofanyika kwenye sector binafsi? Kwamba ni contracts, huwezi ku-perfom anaingia mkataba na mtu mwingine. Ndio ilikuwa swali.

Kama alivyosema John aliyeulizwa wa kwanza ni mimi..(HIVYO SIKU M-REFUTE MNYIKA KAMA ILIVYOWEKWA HAPA)....

NILICHOJIBU, KWA MAZINGIRA YA NCHI YETU NI VIGUMU KUPIMA (si kwamba haiwezekani),ILA NI VIGUMU KUPIMA KAMA KWENYE SECTOR BINAFSI, NA NIKASEMA MBAYA ZAIDI KWA SYSTEM YA NCHI YETU AAMBAYO MBUNGE KWA MFANO AKISHACHAGULIWA EITHER ANAFANYA YALE "WALIYOKUBALIANA" NA WANANCHI AU LA HAKUNA NJIA YA KUM-RECALL HALI NI MBAYA ZAIDI,NDO MAANA TUNAKUWA NA WABUNGE AMBAO WANAWEZA KAA KWA MIAKA MITANO HAKUNA ALOFANYA NA WANANCHI WANASUBIRI MPAKA MIAKA MITANO. NI HASARA KWA JIMBO NA KWA NCHI PIA.

NIKATOA MIFANO YA NCHI KAMA GHANA,AMBAO WANAUTARATIBU, MBUNGE ASIPOWARIDHISHA WAPIGA KURA WAKE WAKIJIORODHESHA KUFIKIA ASILIMIA KADHAA ANAWEZA KUPOTEZA UBUNGE WAKE, BADALA YA KUMSUBIRI MIAKA MITANO BAADAE ANALIPWA KWA PESA ZETU DOING NOTHING,NA KWETU MIFANO NI MINGI SANA.............
 
Kwa sisi ambao hatukuona kipindi cha televisheni.

Tunaomba utuhabarishe real simple.

Katika uchaguzi kuna contract kati ya wananchi na wagombea nafasi ama la?

Unauliza kama kuna legally binding contract au unofficial contract?
 
Nianze na hili la Mkataba au la!

Kwakweli kilichotokea mmoja wa wazungumzaji alizungumza juu ya jinsi sector binafsi inavyotoa fursa kwa vijana kuonyesha uwezo wao na kutoa takwimu jinsi vijana walivyoshika nafasi za juu kwenye sector binafsi,.

Ndipo mtangazaji akauliza je kwenye siasa upimaji wa perfomance unawezekana? Na inawezekana kupima kama inavyofanyika kwenye sector binafsi? Kwamba ni contracts, huwezi ku-perfom anaingia mkataba na mtu mwingine. Ndio ilikuwa swali.

Kama alivyosema John aliyeulizwa wa kwanza ni mimi..(HIVYO SIKU M-REFUTE MNYIKA KAMA ILIVYOWEKWA HAPA)....

NILICHOJIBU, KWA MAZINGIRA YA NCHI YETU NI VIGUMU KUPIMA (si kwamba haiwezekani),ILA NI VIGUMU KUPIMA KAMA KWENYE SECTOR BINAFSI,NA NIKASEMA MBAYA ZAIDI KWA SYSTEM YA NCHI YETU AAMBAYO MBUNGE KWA MFANO AKISHACHAGULIWA EITHER ANAFANYA YALE "WALIYOKUBALIANA" NA WANANCHI AU LA HAKUNA NJIA YA KUM-RECALL HALI NI MBAYA ZAIDI,NDO MAANA TUNAKUWA NA WABUNGE AMBAO WANAWEZA KAA KWA MIAKA MITANO HAKUNA ALOFANYA NA WANANCHI WANASUBIRI MPAKA MIAKA MITANO. NI HASARA KWA JIMBO NA KWA NCHI PIA.

NIKATOA MIFANO YA NCHI KAMA GHANA, AMBAO WANAUTARATIBU, MBUNGE ASIPOWARIDHISHA WAPIGA KURA WAKE WAKIJIORODHESHA KUFIKIA ASILIMIA KADHAA ANAWEZA KUPOTEZA UBUNGE WAKE, BADALA YA KUMSUBIRI MIAKA MITANO BAADAE ANALIPWA KWA PESA ZETU DOING NOTHING, NA KWETU MIFANO NI MINGI SANA.............

Huh? Kama hicho ndicho ulichosema sioni tatizo liko wapi unless mleta mada ali-spin....
 
Nianze na hili la Mkataba au la!

Kwakweli kilichotokea mmoja wa wazungumzaji alizungumza juu ya jinsi sector binafsi inavyotoa fursa kwa vijana kuonyesha uwezo wao na kutoa takwimu jinsi vijana walivyoshika nafasi za juu kwenye sector binafsi,.

Ndipo mtangazaji akauliza je kwenye siasa upimaji wa perfomance unawezekana? Na inawezekana kupima kama inavyofanyika kwenye sector binafsi? Kwamba ni contracts, huwezi ku-perfom anaingia mkataba na mtu mwingine. Ndio ilikuwa swali.

Kama alivyosema John aliyeulizwa wa kwanza ni mimi..(HIVYO SIKU M-REFUTE MNYIKA KAMA ILIVYOWEKWA HAPA)....

NILICHOJIBU, KWA MAZINGIRA YA NCHI YETU NI VIGUMU KUPIMA (si kwamba haiwezekani), ILA NI VIGUMU KUPIMA KAMA KWENYE SECTOR BINAFSI, NA NIKASEMA MBAYA ZAIDI KWA SYSTEM YA NCHI YETU AAMBAYO MBUNGE KWA MFANO AKISHACHAGULIWA EITHER ANAFANYA YALE "WALIYOKUBALIANA" NA WANANCHI AU LA HAKUNA NJIA YA KUM-RECALL HALI NI MBAYA ZAIDI,NDO MAANA TUNAKUWA NA WABUNGE AMBAO WANAWEZA KAA KWA MIAKA MITANO HAKUNA ALOFANYA NA WANANCHI WANASUBIRI MPAKA MIAKA MITANO. NI HASARA KWA JIMBO NA KWA NCHI PIA.

NIKATOA MIFANO YA NCHI KAMA GHANA, AMBAO WANAUTARATIBU, MBUNGE ASIPOWARIDHISHA WAPIGA KURA WAKE WAKIJIORODHESHA KUFIKIA ASILIMIA KADHAA ANAWEZA KUPOTEZA UBUNGE WAKE, BADALA YA KUMSUBIRI MIAKA MITANO BAADAE ANALIPWA KWA PESA ZETU DOING NOTHING, NA KWETU MIFANO NI MINGI SANA.............

Nape,

Niulize maswali matatu: Ni ukweli kama anavyosema Mnyika kwamba katika kujibu kwako ulisema kwenye siasa hakuna mkataba? Je, ni kweli Mnyika alikupinga kwa kusema kuwa kuna mkataba na akazungumzia ilani na ahadi kama alivyosema hapa? Kipindi hicho kinarudiwa muda gani kesho? Maana imesemwa siku bila muda
 
Na nikaendelea kwa kusema, na huu ndio mtazamo wangu juu ya hili, nafahamu kuna contracts za aina nyingi sana, katika siasa kuna kitu tunaita Social contract. Ilani ya uchaguzi inafaa kuwa social contract kati ya Chama cha siasa na mpiga kura.....mgombea,,indirect. Kwa mazingira ya kwetu(Tanzania) hali ni tofauti sana na naamini ndo chanzo cha watu kutokuwa "radical" kuhoji kwanini baadhi ya mambo yameahidiwa na wabunge wao na hawajafanya na bado wanachaguliwa.

Kinachonifanya niseme ni vigumu kupima utaratibu uliopo unapumbaza wapiga kura, hakuna meno ya kutosha katika hiyo "social contract" kama ilivyo Ghana na kwingineko na ukizingatia muamko wa wapiga kura, basi inakuwa ilimradi Ilani ipo, ukiuliza wangapi wananaenda kupiga kura kwasababu ya Ilani ya uchaguzi utashangaa majibu yake.

Nami naamini hiki ni chanzo kikubwa cha matatizo tuliyo nayo.
 
TULIJITAHIDI KUWEKA ITIKADI ZETU PEMBENI,TUKAJADILI MAMBO/CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI VIJANA WA KITANZANIA KWA UJUMLA BILA KUJALI ITIKADI ZAO.

I really hope you are being sincere here for not long ago you were vying for a post in the leadership of some entity known as UVCCM - Umoja wa Vijana wa CCM. Never once have I ever heard you call for the formation of something that brings together all the Vijana wa Tanzania. But then I must be dreaming for I can still remember vividly what befell Bawata - Baraza la Wanawake Tanzania.

Ni wazi kukataa kwako kuwa kuna mkataba wa aina fulani kati ya wananchi na viongozi wao kulisukumwa zaidi na itikadi na hivyo kujaribu kuficha ukweli kuwa huu utawala umeshindwa kuheshimu ahadi zilizotolewa wakati wa kuomba kura. Kwa nchi yetu na mfumo wetu huu mbovu, CCM inaweza kufanya hivyo na ikapona kwa sababu tu inatumia ubabe katika kisiasa na katiba inailinda na kuiwezesha.

According to wikipedia
political parties prepare electoral manifestos which set out both their strategic direction and outlines of prospective legislation should they win sufficient support in an election to serve in government. Legislative proposals which are featured in the manifesto of a party which has won an election are often regarded as having superior legitimacy to other measures which a governing party may introduce for consideration by the legislature
Kwa vyovyote vile hapa tunaongelea pande mbili - moja linatoa ahadi na kuomba kura, lingine linapokea ahadi na kutoa kura je, haya si makubaliano ? Adhabu gani yamfaa anayeshindwa kuheshimu makubaliano ni swala pana na zito hasa tunapojadili siasa. Lakini kwa Tanzania na CCM mambo yote poa tu, tunashindwa kutoa maamuzi sahihi na kwa wakati sahihi kwani kama tungeweza leo hii hatungerubuniwa kwa kanga na kofia.
 
Nape,

Niulize maswali matatu: Ni ukweli kama anavyosema Mnyika kwamba katika kujibu kwako ulisema kwenye siasa hakuna mkataba? Je, ni kweli Mnyika alikupinga kwa kusema kuwa kuna mkataba na akazungumzia ilani na ahadi kama alivyosema hapa? Kipindi hicho kinarudiwa muda gani kesho? Maana imesemwa siku bila muda
Sikusema hakuna mkataba nlichojibu NI VIGUMU KUPIMA na TARATIBU ZA KUMWAJIBISHA BAADA YA KUTORIDHIKA NI MBOVU. NDO JOHN KAMA SIKOSEI AKASEMA UNAWEZA KUPIMA KWA AHADI ZA KWENYE ILANI YA UCHAGUZI AMBAO NI MKATABA TOSHA.

Ni kumbushe tu pia hapa kwa waliotazama watakumbuka hakukuwa na eti mvutano kati yangu na John, katika vijana nawaheshimu sana ni pamoja na John hata kama tunatoka vyama tofauti. Na mjadala kama alivyosema John haukuwa wa kisiasa sana,ila ulijadili role ya vijana katika maendeleo.
 
Vipi kuhusu itikadi? Itikadi inaweza kutenganishwa na siasa? Nilisikia umesema watu waweke pembeni itikadi. unaweza kuongelea hilo?
 
Sikusema hakuna mkataba nlichojibu NI VIGUMU KUPIMA na TARATIBU ZA KUMWAJIBISHA BAADA YA KUTORIDHIKA NI MBOVU. NDO JOHN KAMA SIKOSEI AKASEMA UNAWEZA KUPIMA KWA AHADI ZA KWENYE ILANI YA UCHAGUZI AMBAO NI MKATABA TOSHA.

Ni kumbushe tu pia hapa kwa waliotazama watakumbuka hakukuwa na
eti mvutano kati yangu na John, katika vijana nawaheshimu sana ni pamoja na John hata kama tunatoka vyama tofauti. Na mjadala kama alivyosema John haukuwa wa kisiasa sana,ila ulijadili role ya vijana katika maendeleo.

Nape

Kwa jibu lako unaama kwamba John Mnyika ametudanya hapa? Maana yeye amethibisha hapa kuwa ulisema kwamba kwenye siasa hakuna mkataba(contract). Na amesema hapa kuwa akaeleza kwamba kwa maoni yake kuna contract kama ilani na ahadi.

Unaweza kutuambia kipindi chenu kinarushwa tena kesho saa ngapi ili sisi tulio hapa Tanzania tukione wenyewe tushuhudie hoja mlizozitoa siku hiyo tufahamu ukweli wote?
 
Samahanini kwa kuchelewa kuingia,foleni kiasi Dar!

Lakini kipekee na kwa heshima kubwa namshukuru sana sana Ndugu yangu John Mnyika kwa kuingia na kuamua kuweka mambo sawa hapa ili mjadala uendelee vizuri!

Nilitumia neno KUROPOKA kwasababu nlikosa neno sahihi la kumwambia anayeponda/kusema na hasa yale ambayo kwakweli hayakutokea,tena anayasema kama vile ameyashuhudia kwa macho na masikio yake. Kama kuna mtu KAKWAZIKA kwa neno hilo samahani sana sijakusudia kudharau mchango wa mtu yeyote hapa JF,hata wale ambao kila wakiingia hapa hawataona jema la Nape, nao ni mtazamo wao,nawashukuru,kwani pengine kwa kusema hayo huniwezesha kujiangalia vizuri niko aawa au la.
Sasa ntajibu moja baada ya jingine,karibuni kwa mjadala.

- Mkulu Nape, maneno mazito sana hayo, cha muhimu hapa ni kujifunza kwua waangalifu na waleta habari ambazo hazina mantiki, wewe mtu unaona kabisa kichwa cha habari hakifanani kabisa na habari lakini unairukia tu kama vile wewe ndiye mhusika, tena unajua kabisa kwamba Mnyika na Nape ni mebers hapa kwamba watakuja tu kujieleza, I mean hivi kweli one needs to be a professor kuelewa haya, mimi ninaona kama ni common sense tu tena after being here kwa muda mrefu sasa unless kwa somebody ambaye ni mgeni,

- Again, Mkulu Nape saafi sana tumekusikia sasa ngoja wengine tutafakari the really ishu kwenye mazungumzo yenu, ndio tutoe hukumu!

Respect.


FMEs!
 
Haya bana...mi nilikuwa nataka kumpa tafu tu maana keshajieleza vizuri tu lakini bado watu mmemkomalia koo..

Kaelezea hiyo ya contract, tena baada ya kuona watu walivyomlima mimi naagiza mkanda nione kwenye TV alisemaje.Isiwe kabadili story baada ya kuona alichemsha.

Hili la itikadi hajalisema vyovyote.
 
Kaelezea hiyo ya contract, tena baada ya kuona watu walivyomlima mimi naagiza mkanda nione kwenye TV alisemaje.Isiwe kabadili story baada ya kuona alichemsha.

Hili la itikadi hajalisema vyovyote.

Angalia kwanza huo mkanda uliouagiza ndo utoe hukumu mkuu..haya maneno ya 'isiwe' hayamake sense mazee
 
Hili la ITIKADI:

Si kwamba napuuza itikadi hapana, nami ni muumini mzuri wa itikadi lakini si mara ya kwanza nasema kwa uwazi kabisa...UZALENDO KWA NCHI LAZIMA UVUKE MIPAKA YA ITIKADI...

Nakumbuka hata mahojiano yangu na Kaka yangu Mwanakijiji one time aliniuliza kati ya chama na nchi uzalendo wangu uko wapi kwanza nikamjibu wazi tena bila kigugumizi ..NCHI KWANZA CHAMA BAADAE.

NAMIMI NI MUUMINI MZURI WA BARAZA LA VIJANA LA TANZANIA. Kwani naamini ni vyema tukatofautiana katika njia za kufikia maendeleo yetu lakini tukaelewana katika mambo ya msingi ya maendeleo yetu.

Kwa mfano tunaweza kutofautiana katika namna (itikadi) ya kufikia elimu kwa wote,lakini elimu kwa wote isiwe swala la kubishania tena.

Naamini ndivyo wenzetu waloendelea walivyofanikiwa. Wanaweza kutofautiana katika namna ya kuifanya Marekani nchi Yenye nguvu duniani, lakini hawatatofautiana katika haja ya kuifanya nchi hiyo yenye nguvu duniani.
 
Back
Top Bottom