tutaweza
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 634
- 457
Sasa ukiwadharau Mzumbe, UDSM utawafanya nn? Huo ukilazaa wake unaupima kwa kauli zake za kisisasa au academically. Don't mix up things. Simtetei ila nakutahadharisha kwamba kukurupuka sio kuzuri kwa great thinker (If you are the one, anyway). Ina maana Nape hastahili kupata masters kutoka chuo chochote duniani?Yani Mzumbe nimewadharau sana! Inakuwa vipi kilaza kama NAPE wanamtunuku shahada ya Uzamili?! Mwenye Dessertation yake tunaomba muiweke hapa jamvini tuisome na tuijadili maana ukishatunukiwa hiyo shahada kazi yako ya Dessertation inakuwa matter of Public na siyo siri tena!