Nape Nnauye

KakaKiiza sina maana ya wamuache apite, unawezaje kujua kwamba Nape ni kilaza wakati hujamfundisha, hujasoma naye ukamshinda, na labda umejua alidisco lakini amebebwa mpaka kufika hapo?

Na kwa point ya kwamba Nape hakupaswa kupata Masters unamaanisha waliompa ni vilaza? Aliopata nao ni vilaza? Na wengine wote waliokwisha pata Masters kama ya Nape ni vilaza?

KakaKiiza wewe level yako ya elimu ikoje, unafanya kazi gani za kuisaidia jamii na elimu yako hiyo?
Kweli umenigusa mimi natoa hapa Elimu yangu std 7,kazi taxi driver jamii naisidia kuwamwaminifu katika kazi yangu nawajibika kueleza wasifu wangu! Ukiwa muungwana tuambie na wewe elimu yako na kazi yako!ukishindwa hili ntakuona bado wewe ni kiazi!!!kwakutetea ujinga mahali panapohitaji kujadiliwa kwani mtu wanayemjadili ni mtu maarufu katika jamii!Mean public figure!
 
Mzumbe nitawi la CCM!nani anakataa???walipogoma majuzi wakwanza kuhojiwa eti ni wafuasi CDM!!na watu nawafahamu wote ni makada wa CCM wameanzia Mzumbe!kwa Nape kuhongwa Digree si ajabu!

Na ndiyo maana hata mimi sitaki ndugu yangu asomee chuo hicho maana akishagraduate anakuwa Pro-CCM! Na ukitaka kujua hiki Chuo ni cha CCM kakague CV za Wabunge wa Vyama vya Upinzani uniambie ni wabunge wangapi wamesoma Mzumbe! Hata watano hawafiki!
 
Haya, ila kumbuka kukimbia hoja siyo kujibu hoja! Tutaendelea ku-demand Dessertation ya NAPE! Sisemi hivi labda namuonea wivu. La hasha! Nataka kusoma nijue aliachoandika maana Dessertation ni Information ambayo ni muhimu for Publlic awareness and not Confidential Information! Na ndiyo maana Mzumbe wamemtunuku Master degree.
Graduate kwanza......
 
Degree ya Kwanza India, Degree ya pili Mzumbe! atakuwa kasomea online ama uchakachuzi tu!

View attachment 43538

Hahaha jamaa wapo dodoma leo hii,vijana wanasema walipitia barabara ya8 na kuchukua kreti 1 ya soda kwa mr.mtei ambaye ni cdm damu,laiti nape na nduguze waliokuwa katika gari aina ya shangingi nyeupe wangejua muuzaji ni cdm damu. Wasingenunua kabisa.
 
NAPE na baadhi ya JF-members ni kama Wema/Aunt Ezekiel na magazeti ya Shigongo au Kiu. Hakuna anachokifanya Nape kisiandikwe humu, iwe ameenda kwenye send-off party, harusini, msibani, kutembelea wazazi nk utajua tu kupitia JF.

Hii ni obsession (sijui hata kwa kiswahili ni nini), lakini naona mafanikio ya Nape yanawaumiza baadhi ya watu (wengi) humu JF. Ni muda sasa tufanye mambo yanayoleta tija kwa maendeleo ya taifa, mtu hata masters hana anaanza kufanya comparisons ya masters ya mwenzake. Tusiwe wajinga kiasi hicho, hope NAPE anainjoi na Masters yake huko aliko.

Ndugu sisi tunamjadili NAPE si kwa sababu tunamuonea Wivu! La hasha! Tunamsaidi kwa kumpa ushauri pale tunapoona anapotea. Hata kama ameenda Send Off akiwa kavaa Sketi lazima tumfunde kwamba Sketi sio vazi la kiume! Kuhusu hili la Masters yake baadhi yetu tunataka tuione Dessertation yake maana ni Public Information kwa sasa. Siyo utaratibu kwamba watu wasiokuwa na masters wasihoji Masters za wengine.

 

Nape yupi unayemzungumzia? akipata Phd mimi naacha kazi yangu ya uhadhiri...

Ndio maana products za vyuo siku hizi ni ovyo, muhadhiri gani hata kuandika hufuati sheria za kiuandishi? Baada ya kiulizo weka herufi kubwa.
 
Ndugu sisi tunamjadili NAPE si kwa sababu tunamuonea Wivu! La hasha! Tunamsaidi kwa kumpa ushauri pale tunapoona anapotea. Hata kama ameenda Send Off akiwa kavaa Sketi lazima tumfunde kwamba Sketi sio vazi la kiume! Kuhusu hili la Masters yake baadhi yetu tunataka tuione Dessertation yake maana ni Public Information kwa sasa. Siyo utaratibu kwamba watu wasiokuwa na masters wasihoji Masters za wengine.


Wivu ni human nature, kila mmoja ana wivu isipokuwa mbaya ni pale mtu unapokuwa na wivu wa kupindukia. Mwenzio anachofanya unaponda, hata kiwe kizuri vipi! Na hii yote ni kwa kujua kwamba hutaweza kufika pale alipo, hivyo unajaribu kumshusha ili muwe level moja ya chini.

Tafuta heshima yako kwa kusoma zaidi yake au kufanya chochote kizuri zaidi ya anachokifanya na sio umshushe.

Kwa tunaokaa uswahilini haya mambo yamejaa kweli kweli na yanakera, utakuta jamaa kanunua zake gari badala ya watu kusifu wanaanza ooh jamaa hasalimii, kigari cha mkopo, anaringa sana, wanaanza hata kutega pancha, wanang'oa vifaa ili tu kumrudisha nyuma. Walitakiwa kufight kununua magari mazuri zaidi, (huo ni mfano wa hii issue ya NAPE).
 
Kweli umenigusa mimi natoa hapa Elimu yangu std 7,kazi taxi driver jamii naisidia kuwamwaminifu katika kazi yangu nawajibika kueleza wasifu wangu! Ukiwa muungwana tuambie na wewe elimu yako na kazi yako!ukishindwa hili ntakuona bado wewe ni kiazi!!!kwakutetea ujinga mahali panapohitaji kujadiliwa kwani mtu wanayemjadili ni mtu maarufu katika jamii!Mean public figure!

Acha uongo KakaKiiza, taxi driver gani anashinda kwenye kiboard? Acha kutania kazi za watu wewe.
 
Mwenzio anachofanya unaponda, hata kiwe kizuri vipi! Na hii yote ni kwa kujua kwamba hutaweza kufika pale alipo, hivyo unajaribu kumshusha ili muwe level moja ya chini. Tafuta heshima yako kwa kusoma zaidi yake au kufanya chochote kizuri zaidi ya anachokifanya na sio umshushe. Kwa tunaokaa uswahilini haya mambo yamejaa kweli kweli na yanakera, utakuta jamaa kanunua zake gari badala ya watu kusifu wanaanza ooh jamaa hasalimii, kigari cha mkopo, anaringa sana, wanaanza hata kutega pancha, wanang'oa vifaa ili tu kumrudisha nyuma. Walitakiwa kufight kununua magari mazuri zaidi, (huo ni mfano wa hii issue ya NAPE).

Ndugu yangu kwanza naomba ujue kwamba Mimi sipo tayari kushindana na NAPE eti kila anachofanya nami nifanye zaidi yake! Hapana! Mi nasukumwa na maono yangu binafsi. Kama ni Masters hata Mimi ntapata by 2013 maana kwa sasa ndio nipo MBA First Year, Second Semister. Swala la Pili kwamba kila anachofanya NAPE mimi naponda si ukweli. Mimi namsahihisha.

Na ndiyo maana hata sasa hivi nang'ang'ania atuletee Dessertation yake. Kwani kuiomba ni kumponda? Au hujui kwamba kwa sasa Dessertation yake ni Public Information na inaweza kutumiwa na mtu yeyote kama reference?
 
Yani Mzumbe nimewadharau sana! Inakuwa vipi kilaza kama NAPE wanamtunuku shahada ya Uzamili?! Mwenye Dessertation yake tunaomba muiweke hapa jamvini tuisome na tuijadili maana ukishatunukiwa hiyo shahada kazi yako ya Dessertation inakuwa matter of Public na siyo siri tena!
Kwa nini na wewe usiweke ya kwako? Majungu si mtaji, Tumbili wee!!!!
 
Mnyonge mnyongeni, lakini haki yake (japo kiodgo na kwa mara moja) mpeni.

Hongera sana Nnauye Jr.

Hebi jitokeze na uwajibu maswali/worries za wadau
 
Back
Top Bottom