kongomboli
Senior Member
- Apr 11, 2011
- 155
- 34
Nape namie naomba kadi ya CCJ
Mnapoendelea kumjadili mnaendelea kumfundisha na kumpa umaarufu wa bure.
ndungu yangu nape
pole sana na majukumu, vijana ambao tuko chini yako tumeanza kukata tamaa maana tulitegemea wewe uwe tegemeo letu sasa umetugeuka umeanza kufata nyayo za mafisadi, umetukatisha tamaa umetukatisha tamaa, umeenza kuwa mtu msaliti, nini kimekubadilisha??
Nape badilika vijana bado wanakuitaji