Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
kisipoondoka na nyumba kitaondoka na PM, mkuu ni wapi huko alikozomewa?
Geita huko, wananchi wa kata ya Nkome walimzomea sana hadi kutaka kumtia vidole machoni ikabidi akimbie na wapambe wake. Na wakamwambia asirudi tena huko na hawamtambui tena.