William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
@ Nchimbi thaanks bro, otherwise Nape is doing great na anajaribu kutusaidia taifa!
.....Nape ana kichwa kidogo, waliomweka hapo alipo walikua na malengo yao, hawezi kudigest mambo, akitumwa anabwabwaja bila kuchuja, hivyo wanamtumia wanavyotaka, hana madhara.
Jambo naloshindwa kumwelewa huyu bwana ni mipaka ya nafasi yake kama katibu mwenezi wa chama wadau si kwamba anatakiwa awe beneti sana na kina Kapten Komba kuhakikisha nyimbo za kukisifu chama zinatungwa na kuimbwa vizuri pia kuunda vikundi vingine vya burudani nao mwisho wake ni hapo km anabisha akaribie kuchangia mada
Hufai wewe maana ni zao la ufisadi ! Jaribu uangukie pua Kama kikongwe babako Malecela Sam