only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
...Ametoa neno kwenye kanisa la ufufuo na uzima leo kuhusu rushwa na kusema kuwa viongozi wamekosa huruma kwa wananchi na wamekosa Mungu ndani yao.Amedai yeye sio mgeni kwenye kanisa hili la Gwajima na ameonyeshwa kukerwa na rushwa.
...Naona siasa na kanisa zinaendelea kupamba moto,ungemuona Nape ungesema kuwa ameanza kuwa mchungaji,alikuwa anaongea mpaka povu linamtoka mdomoni.
Source : TBC 1
...Naona siasa na kanisa zinaendelea kupamba moto,ungemuona Nape ungesema kuwa ameanza kuwa mchungaji,alikuwa anaongea mpaka povu linamtoka mdomoni.
Source : TBC 1