Mzalendo No. 1
Member
- Sep 16, 2011
- 14
- 1
R.I.P mkuu
Ahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!! yaani sometime hii JF ni burudani toshaaaaaaaa, akya mbongo binti muhamadi!!!!!!!!!
R.I.P mkuu
Sasa ww nae hueleweki, umeleta mada ya nini NAPE anasema , then matusi, so what? Tuliza munkari kaka? Usivae ufuasi wa CHAMA badala ya utanzania, tafakari hoja otherwise mwishoe utajikuta hata unataka kula chakula chenye chapa ya CHAMA....Katibu mwenezi wa CCM Nape Nnauye ameibuka na madai mazito akiwa kwenye mikutano ya chama chake kanda ya ziwa kwa kusema kuwa kuna watu wanataka kumuua kwasababu ya msimamo wake aliouita thabiti wa kupambana na ufisadi ndani ya chama uliopewa jina la kujivua gamba.
Nape aliendelea kusema anawafahamu hao watu na akasema hawezi kurudi nyuma kamwe...aliendelea kusema kuna watu wanamtafuta kwa hali na mali ili kummaliza kabisa na kumtoa katika dunia kwa kutumia pesa zao,na akasema ana hakika Mungu yupo pamoja nae na ataendelea na mapambano maana hata YESU alipoingia Yerusalem kwa mara ya kwanza alikuta watu wakifanya biashara kwenye hekalu na akachukua hatua ya kusafisha hekalu kwa nguvu.......
Muono wangu:
Ni kutafuta umaarufu wa kijinga...
Sasa na wewe unaongea nii hapa??Sasa ww nae hueleweki, umeleta mada ya nini NAPE anasema , then matusi, so what? Tuliza munkari kaka? Usivae ufuasi wa CHAMA badala ya utanzania, tafakari hoja otherwise mwishoe utajikuta hata unataka kula chakula chenye chapa ya CHAMA.
ooh ccm yanga na ccm simba zinazidi kukomaa............yetu machoWatu wanataka kumuua au kumbaka? Nadhani hajawaelewa vizuri azma yao.
...Katibu mwenezi wa CCM Nape Nnauye ameibuka na madai mazito akiwa kwenye mikutano ya chama chake kanda ya ziwa kwa kusema kuwa kuna watu wanataka kumuua kwasababu ya msimamo wake aliouita thabiti wa kupambana na ufisadi ndani ya chama uliopewa jina la kujivua gamba.
Nape aliendelea kusema anawafahamu hao watu na akasema hawezi kurudi nyuma kamwe...aliendelea kusema kuna watu wanamtafuta kwa hali na mali ili kummaliza kabisa na kumtoa katika dunia kwa kutumia pesa zao,na akasema ana hakika Mungu yupo pamoja nae na ataendelea na mapambano maana hata YESU alipoingia Yerusalem kwa mara ya kwanza alikuta watu wakifanya biashara kwenye hekalu na akachukua hatua ya kusafisha hekalu kwa nguvu.......
Muono wangu:
Ni kutafuta umaarufu wa kijinga...
Hakuna mtu anayehangaika na Mbwa koko, kumpiga risasi Mbwa anayekula kinyesi ni kuchezea risasi, people save their bullets....Katibu mwenezi wa CCM Nape Nnauye ameibuka na madai mazito akiwa kwenye mikutano ya chama chake kanda ya ziwa kwa kusema kuwa kuna watu wanataka kumuua kwasababu ya msimamo wake aliouita thabiti wa kupambana na ufisadi ndani ya chama uliopewa jina la kujivua gamba.
Nape aliendelea kusema anawafahamu hao watu na akasema hawezi kurudi nyuma kamwe...aliendelea kusema kuna watu wanamtafuta kwa hali na mali ili kummaliza kabisa na kumtoa katika dunia kwa kutumia pesa zao,na akasema ana hakika Mungu yupo pamoja nae na ataendelea na mapambano maana hata YESU alipoingia Yerusalem kwa mara ya kwanza alikuta watu wakifanya biashara kwenye hekalu na akachukua hatua ya kusafisha hekalu kwa nguvu.......
Muono wangu:
Ni kutafuta umaarufu wa kijinga...
tena wamekuchelewesha kenge mtu.
...Katibu mwenezi wa CCM Nape Nnauye ameibuka na madai mazito akiwa kwenye mikutano ya chama chake kanda ya ziwa kwa kusema kuwa kuna watu wanataka kumuua kwasababu ya msimamo wake aliouita thabiti wa kupambana na ufisadi ndani ya chama uliopewa jina la kujivua gamba.
Nape aliendelea kusema anawafahamu hao watu na akasema hawezi kurudi nyuma kamwe...aliendelea kusema kuna watu wanamtafuta kwa hali na mali ili kummaliza kabisa na kumtoa katika dunia kwa kutumia pesa zao,na akasema ana hakika Mungu yupo pamoja nae na ataendelea na mapambano maana hata YESU alipoingia Yerusalem kwa mara ya kwanza alikuta watu wakifanya biashara kwenye hekalu na akachukua hatua ya kusafisha hekalu kwa nguvu.......
Muono wangu:
Ni kutafuta umaarufu wa kijinga...
Mkuu utakua umeacha prfl yako wazi mtoto wako ndo kaandika haya maneno.Sasa ww nae hueleweki, umeleta mada ya nini NAPE anasema , then matusi, so what? Tuliza munkari kaka? Usivae ufuasi wa CHAMA badala ya utanzania, tafakari hoja otherwise mwishoe utajikuta hata unataka kula chakula chenye chapa ya CHAMA.
Watu wanataka kumuua au kumbaka? Nadhani hajawaelewa vizuri azma yao.
Sasa ww nae hueleweki, umeleta mada ya nini NAPE anasema , then matusi, so what? Tuliza munkari kaka? Usivae ufuasi wa CHAMA badala ya utanzania, tafakari hoja otherwise mwishoe utajikuta hata unataka kula chakula chenye chapa ya CHAMA.