Tugutuke
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 501
- 165
Nimetembelea kwenye page yake pale Facebook nikakuta hiki. "Ona sasa kwa kuwa kuna Sudan kusini na Sudan Kaskazini,basi kuwe na Tanzania na Tanzania Kaskazini?? Kataa ubaguzi,ikatae CHADEMA!" mwisho wa kumnukuu. Je,ana malengo gani haswa huyu Gamba?!