Nape Nnauye atulizwa, ateuliwa DC Masasi

Kiranga,
Nadhani DC ni administrator. Mbunge ni mwakilishi. No redudancy.

Tungefanya DC anachaguliwa na wananchi, na DC ndiye mbunge huyo huyo, tuna merge kazi mbili hizi.

If you ask me kwa nchi masikini kama yetu DC ni uzushi tu. Hiki ni cheo cha kikoloni, kama kuhamasisha wananchi mbunge anaweza kufanya, administration nyingine zinaweza kufanywa na wafanyakazi wa serikali wa wilayani bila ya haja ya kuwa na DC na mbunge at the same time. Our hierarchies are full of redundancies, utaenda mkoani nako utakuta mkuu wa mkoa.

Najua Afisa Afya wa wilaya anafanya nini ambacho hakunamwingine anaweza kufanya wilayani.
Vivyo hivyo kwa Afisa Kilimo wa wilaya etc.

Sioni kimsingi kwa nini tusitoe madaraka zaidi kwa serikali za chini na kufanya mbunge ndiye awe mkuu wa wilaya.
 
Tungefanya DC anachaguliwa na wananchi, na DC ndiye mbunge huyo huyo, tuna merge kazi mbili hizi.

If you ask me kwa nchi masikini kama yetu DC ni uzushi tu. Hiki ni cheo cha kikoloni, kama kuhamasisha wananchi mbunge anaweza kufanya, administration nyingine zinaweza kufanywa na wafanyakazi wa serikali wa wilayani bila ya haja ya kuwa na DC na mbunge at the same time. Our hierarchies are full of redundancies, utaenda mkoani nako utakuta mkuu wa mkoa.

Najua Afisa Afya wa wilaya anafanya nini ambacho hakunamwingine anaweza kufanya wilayani.
Vivyo hivyo kwa Afisa Kilimo wa wilaya etc.

Sioni kimsingi kwa nini tusitoe madaraka zaidi kwa serikali za chini na kufanya mbunge ndiye awe mkuu wa wilaya.
Kiranga,
Now you sound like Chadema. But I am in agreement with you. There is too much bureuacracy. DC, DDD, RC...all these jobs could be merged into one.
 
Rais kufanya mateuzi makubwa wakati huu ni kukosa busara. Novemba inakuja, na akiingia mwingine Ikulu anabadilisha sio waliopo tu, bali hata nafasi zenyewe.

Nakubaliana na wanaosema hatuhitaji DC wala RC. Na kama watahitajika watu wa kisiasa ngazi hiyo basi wachaguliwe na wananchi. Tunaogopa nini? Tunaogopa kuwapa wananchi UHURU wa kujichagulia viongozi wao?

Nape Nauye angeweza kuchaguliwa na wananchi wa Masasi kuwa DC wao? Kama jibu ni hapana, basi anakwenda kuwatawala kwa nguvu.
 
Hivi hii nchi inaendeshwa na walevi, wapumbavu, wendawazimu au punguwani maana sielewi.

umesahau mmiliki wa danguro! club bilcanas ni mgombea wenu wa ubunge kupitia chadema ....
 
Niuchaguzi mzuri sema namashaka ikiwa Nape analetwa huku kiserikali au kisiasa maana huku ccm ipn maji ya shingo huzu uwenda kaletwa kuipa ccm kung'a. Think tank.
 
Tungefanya DC anachaguliwa na wananchi, na DC ndiye mbunge huyo huyo, tuna merge kazi mbili hizi.

If you ask me kwa nchi masikini kama yetu DC ni uzushi tu. Hiki ni cheo cha kikoloni, kama kuhamasisha wananchi mbunge anaweza kufanya, administration nyingine zinaweza kufanywa na wafanyakazi wa serikali wa wilayani bila ya haja ya kuwa na DC na mbunge at the same time. Our hierarchies are full of redundancies, utaenda mkoani nako utakuta mkuu wa mkoa.

Najua Afisa Afya wa wilaya anafanya nini ambacho hakunamwingine anaweza kufanya wilayani.
Vivyo hivyo kwa Afisa Kilimo wa wilaya etc.

Sioni kimsingi kwa nini tusitoe madaraka zaidi kwa serikali za chini na kufanya mbunge ndiye awe mkuu wa wilaya.

itakua balaa kwenye nchi hii ambayo tunachagua hata wauza viungo vya watu... money itakua ndio rungu kuu
 
Tungefanya DC anachaguliwa na wananchi, na DC ndiye mbunge huyo huyo, tuna merge kazi mbili hizi.

If you ask me kwa nchi masikini kama yetu DC ni uzushi tu. Hiki ni cheo cha kikoloni, kama kuhamasisha wananchi mbunge anaweza kufanya, administration nyingine zinaweza kufanywa na wafanyakazi wa serikali wa wilayani bila ya haja ya kuwa na DC na mbunge at the same time. Our hierarchies are full of redundancies, utaenda mkoani nako utakuta mkuu wa mkoa.

Najua Afisa Afya wa wilaya anafanya nini ambacho hakunamwingine anaweza kufanya wilayani.
Vivyo hivyo kwa Afisa Kilimo wa wilaya etc.

Sioni kimsingi kwa nini tusitoe madaraka zaidi kwa serikali za chini na kufanya mbunge ndiye awe mkuu wa wilaya.

..well argued Kilanga! Nafasi ya DC ni upotevu mkubwa wa resources za nchi both financial and human resources!. Mwisho wa siku most of the DCs wanaishia tu ku-exercise bossing attitude wilayani wakijitahidi kuzamia vikao mbalimbali vya Halmashauri za wilaya kupata allowances. Mkurugenzi wa Halmashauri au Katibu Tawala wa wilaya (DAS) can handle (in most cases does so) all the duties currently presumed to be DC duties and responsibilities. Hapa bottom-line ni kuwa TUNAHITAJI KUFANYA MABADILIKO MAKUBWA YA KATIBA!!! Kwani kuna mengine lukuki yanayofanywa kihalali (kisheria) lakini hayana mantiki yoyote ikiwemo raisi kuwa na nguvu ya kuteua karibu kila nafasi ya ukuu serikalini!
 
kuna haja ya kubadiri katiba, hapo jk kayabaka na kuyanajisi matumizi ya ofisi kwani yeye alitakiwa
asifanya jambo lolote la kiserikali, maana kwa sasa nchi haina raisi wala serikali
sasa kafanya hivy kama nani?????


Obheli Malafyale, gimme a break! una maana nchi sasa haina serikali kwa vile tu ni wakati wa kampeni. Wajuzi wa mambo ya katiba watuweke sawa hapa. Kwa ufahamu wangu ni kuwa bado Kikwete na serikali wako madarakani! Hata leo hii nchi ikilazimika kuingia vitani na nchi yoyote bado JK ni Amiri Jeshi Mkuu atatumia madaraka yake as such. Hivyo serikali ipo hata kama baadhi ya majukumu ya Mawaziri na wakuu wengine yamekasimiwa kwa Makatibu Wakuu wa Wizara, n.k....., wataalamu tujuze zaidi.
 
tumpe nafasi tuone atafanya nini! nadhan hata akija rais mwingine i don think kama ataona kua huu uamuzi haukua halali au sio sahihi, ni kijana ambaye tunamkubali hata kama hatukubaliani na mengi yanayoendelea ktk chama hicho!
 
Hongera kwa kuteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya? Hii ni mojawapo ya zile kazi Jenerali anaita za kitarishi. By the way, ni nini kazi ya Mkuu wa Wilaya?

kupokea risala na mashairi ya watoto wa shule za msingi wanapomaliza darasa la saba!
 
Jakaya hawezi kumuacha huyu atampa ubunge wake wa vile viti kumi!!
Kauli hizi ni tata. JK atatoa wapi hizo nafasi kumi za Ubunge? Kwani mwenyekiti wa Chama anateua wabunge kumi? Maana hayo ndio madaraka pekee atakayobaki nayo JK baada ya uchaguzi 31 october.
 
JK atafanya kazi kubwa kuokoa jahazi lake lisizame mwaka huu. Kuteuliwa kwa Nape kunaweza kuleta hisia tofauti, haswa kwa wale wengine ambao HAWAKUPITA kwenye kura za maoni. Wanaweza kuuliza: Nape ana sifa gani mpaka apewe uongozi wa Wilaya nzima, tena ya Masasi?

Kupelekwa kusini kunaweza kutafsiriwa kwamba ni (a) kumziba mdomo, awe mbali, asichonge, au (b) kumpoza, asikimbilie upinzani. Chaguo ni lako hapo.

Kila la heri Nape. Huko ni ukweni. Nitakapokuja next time ntakutembelea ofisini kwako, tutete. Labda nitapata mawili-matatu toka kwako, yenye HEKIMA!

Kumbuka kutenda haki kwa wana-Masasi. Wanakutarajia.

-> Mwana wa Haki

P.S. Habari zaidi Nape Nnauye awa mkuu wa wilaya
 
hiyo ni kumfungisha mdomo. si unajua machachari yake?
akifunga mdomo atakuwa cyo mpambanaji kwani wilayani ndo kuna miradi mingi ya wananchi isiyoisha na kukamilika kwa ubora unaotakiwa. Pamoja na kumpongeza ila atumie hekima na sheria la sivyo hilo ni jumba bovu(mwanzo wa mwisho wake)
 
itakua balaa kwenye nchi hii ambayo tunachagua hata wauza viungo vya watu... money itakua ndio rungu kuu

Mkuu nikupe siri kuna ndugu zetu hawa wapigakura ni wana njaaa na wako radhi kurubuniwa hata kwa 2000/=Tsh ili kumchagua mgombea na wanafuata sauti ya kiongozi wao ili viongozi hao waneemeke kutokea kwa mgombea huyo wamtakae mimi nashindwa kabisa kujua kwanini mtanzania mwenyewe asijichagulie mgombea amfaae.

Hiiizi Njaaaaa zitatupeleka pabaya nchi hiii

 
Back
Top Bottom