Nape Nnauye asema umefika wakati wa UAMSHO na JUMIKI kufutwa na mrajisi wa Serikali ya Z'Bar

teh teh..hivi sasa ndio muda muafaka umefika?Mi nadhani bado ni ile issue yao Kero za muungano?
 
Shetani mmemlea wenyewe sasa anadai "chano" cha wanenu mpeni. Baadaye atawadai damu yenu!! Mpeni mpeni haki yake mpeni shetani wenu wa UDINI. Ubani hautamtuliza hadi apewe DAMU.

JK alilileta joka hili wakati wa kampeni sasa halifugiki. poleni sana!! Hata MABWEPANDE hapatatosha kwa shetani wa UDINI.!!! CCM utawala wako umefitinika "mene mene tekeli na peresi"
 
Nape hana mpya...kama anafikiri anaweza kuwaziba mdomo UAMSHO , aendelee na hizo propaganda zake. Harakati za ukombozi wa Zanzibar , zitaendelea kama kawaida .
 
Nape hana mpya...kama anafikiri anaweza kuwaziba mdomo UAMSHO , aendelee na hizo propaganda zake. Harakati za ukombozi wa Zanzibar , zitaendelea kama kawaida .

Harakati za kihuni kama hizo zitaendelea lakini mtaumia wenyewe. Huo ujambazi wa hao uamsho utawatokea puani.
 
Walipochoma makanisa walikuwa bado safi eti?!

Sasa wamechoma ofisi ya mume wa bosi wao ndio wanaonekana beyond repair

Kufanikisha kuiba uchaguzi aka kutangazwa mshindi CCM walihitaji tukio la kuwazubaisha wananchi,wadadisi au watu wanaofuatilia mambo.

Jana iliripotiwa CCM wananunua vitambulisho vya kupigia kura, pia iliripotiwa kuwa kuna wataalamu wa kughushi matokeo wamepelekwa Zanzibar. Ni wazi kwa ushindi(mwembamba) ulivyotangazwa na matukio yanayoendelea ni kuwa Tume ya uchaguzi imefanya tena yale inayoyafanya, kuwatangaza "vingang'anizi" kuwa wameshinda.

Hizi tume za uchaguzi zilizopo Tanzania ni vyombo vinavyotumiwa kama Jeshi la polisi kusafishia njia CCM.

Hili lililotokeo huko Zanzibar ni kiashiria cha Uchaguzi unaokuja wa 2015.
Kama kuna watu wanafikiri CCM imeshasalimu amri au inasubiri kuzikwa tu, ni vyema kufikiria upya.
 
maoni yangu, hakuna kitu cha muhimu katika masuala ya uongozi kama utawala wa uadilifu na haki. serikali inawahadaa watanzania kwa siasa chafu zikiongozwa na wenye uchu na ulaji wa nchi. kabla ya kufuta kunndi lololote au taasisi yeyote lazima uchunguzi ufanyike kwani hakuna tuhuma za kutolewa maamuzi bila ya mahakama kuangalia ukweli, proven guilty beyond reasonable doubts.

isiwe kila panapotokea magurupu yanayopingana kihoja na wengine ikachukuliwa kama ndio license ya kuwafungia na kuwafita kwwenye register. kuna mentality ya wengi kila jambo linalofanya na gurupu la waislamu basi hilo halikusoma, halina maana, ni gurupu la terrorism, bila ya kuangalia madai yao kwa undani kwa kutumia haki na uadilifu. ikiwa kuna ukweli wa tuhuma zinazotelewa juu ya kundi hili basi kwani mahakama iko wapi? huyo regoster wa vikundi hivi ni CCM wenyewe, mahakama inaongozwa na serikali hii hii kwa nini inakuwa vigumu kulipeleka kundi hili mahakamani na wahusika ili adhabu isitplewe jst kwa kundi lenyewe tu bali pia wahusika wanaotuhum iwa kuondosha amani ya nchi. Au hili halifaii wakuu? tutaendeshaje nchi kwa mapendekezo tu ya wanasiasa ambao historia zao zinaonyesha hawana kauli za ukweli badala ya propaganda? Hivi credibility ya Nape juu ya matamshi ya ukweli katima siasa za nchi hii ni za kuaminika kiasi hichi? Kuna haja gani ya kuwa na institution kama mahakama? Tuhuma zinahitaji evidence, na ndio mahakama yenye mamlaka ya mwisho ya kutoa judgment.

Hivi tuseme polisi ndio kigezo kikuu credible cha kusema ukweli juu ya watuhumiwa hususan walio na upeo tafauti wa kisiasa na chama tawala? kuifuta uamsho kuwe na nguvu za mahakama, kuwe na ushahidi utakao jaribiwa mahakani, ikiwa kuna criminal act basi mahakama ihukumu sio Nape et al. Kutaanzwa na Uamsho (japouwa si kubalini na hoja zao), then magazeri, then vyama vya siasa hususan chadema. Tusivamie tu kusuport blank statemnt za Nape et al, wanaishi kwa majaribio ya ufitinishaji na majungu. wanakulana wwenyewe kwa wenyewe hizo ndio siasa zao. Nitasuport kufungiwa kwa jumuia yeyote ikiwa mahalkama itaamua kufuta usajili wao baada ya trial ilio free and fair.

tuwe na utamaduni wa Tanzania wa kutokubali kuyumbishwa kwa porojo za wanasiasa, sheria iwe ndio kigezo chetu. jambo ambalo silifahamu kwa nini chama tawala hichi kinashindwa kuichukulia hatua za kisheria uamsho kwa kuvunja sheria za nchi? Mahakama ina kazi gani ikiwa kuna creminal act? Au ifungwe kwa sababu ya tafauti ya maoni na hoja baina yao? Nape, Jeshi la polisi wamepoteza credibility ya kuaminiwa na wananchi, au tutabisha na hili? Mahamakama ndio best place ya kuwaumbua wavunjaji wa sheria za nchi otherwise ni kushinikiza hujuma juu ya maendeleo ya demorasia ya nchi. uadilifu na haki ituongoze maamuzi yetu.
 
Ukiwa CCM nadhani kuna kitu ubongoni kinakuwa muted. Kufuta chama au society fulani maana yake kuwaondoa wale wanaunda jumuiya ile. Kama wapo kamwe jumuiya au chama havifutiki kwa vile hao ndio hicho chama au society iwepo.
 
Kwanini zisitazamwe upya kero za Muungano? Kwani hawa uamsho madai yao ya msingi ni yepi?
 
Ina maana J.K na CCM mmeshatosheka na udini mlioupanda mara tu? Waacheni tu endeleeni kuvuna mlichopanda. Na bado.
Umenena kweli, leo wamesahau kuwa chama chao, ndiyo kinaingiza dini kwenye siasa? Si mnakumbuka yule Imam wa Igunga alipokuwa akihamasisha waumini wake, wampigie kura Kafumu wa CCM na wasimpigie wa Chadema, kwa kuwa viongozi wa Chadema wamemvua kilemba, mkuu wa wilaya bi Fatuma, wakati Imam huyo akifanya kampeni hiyo ya hatari, magamba wote nchi nzima walikuwa wakishangilia, badala ya kulaani tendo hilo linaloweza kusambaratisha Taifa!!
 
Harakati za kihuni kama hizo zitaendelea lakini mtaumia wenyewe. Huo ujambazi wa hao uamsho utawatokea puani.

Sisi tunaelewa mpango wenu wa mfumo Kristo ndio maana wasi wasi umewajaa kuhusu Uamsho. Uamsho ndio watakao zuia kuendelea kwa mfumo Kristo Zanzibar. Zanzibar siyo mali ya CCM na huyo Nape asijipendekeze hapa.
 
Umenena kweli, leo wamesahau kuwa chama chao, ndiyo kinaingiza dini kwenye siasa? Si mnakumbuka yule Imam wa Igunga alipokuwa akihamasisha waumini wake, wampigie kura Kafumu wa CCM na wasimpigie wa Chadema, kwa kuwa viongozi wa Chadema wamemvua kilemba, mkuu wa wilaya bi Fatuma, wakati Imam huyo akifanya kampeni hiyo ya hatari, magamba wote nchi nzima walikuwa wakishangilia, badala ya kulaani tendo hilo linaloweza kusambaratisha Taifa!!

Kweli kabisa, walijitahidi kadri ya uwezo wao kuupandikiza udini, sasa wanahaha kuuzima, hauzimiki huo hadi mtakapoondoka madarakani-kaka Nape huko hakukufai wewe bado kijana bwana, achana na hao wazee na chama chao
 
Ndugu zangu wanajukwaa! naombeni wenye taarifa za kutosha watujuze kama hili kundi la uamsho ni kundi la kidini au kisiasa,au ni la kidini linalotaka kudhibiti siasa maana mimi harakati zake zinanikanganya kidogo!au ni kikundi cha kimafia!
 
Nenda zanzibar kafanye reseach yako mmoja wa wahusika anaitwa shehe farid tunakusubiri kwa hamu uje utupe majibu ya swali lako.Ila andika urithi kabisa kama una watoto kwa chochote kitakachoweza kukutokea huko.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom