Habari kutoka watu wa karibu na MC shupavu wa ccm aka nape mkuu wa wilaya, anajuta kuwasema vibaya Makamanda wa CDM ili hali anataka kuhamia CDM, Hali hio imekuja wakati akionekana kukosa pozi la kuzima kasi ya M4C kila kona nchini. Ushauri wangu Bora debe la kokoto kuliko huu mzigo wa samadi.