TUMBIRI
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 1,933
- 1,199
Ndugu zangu leo nimepita kwenye FaceBook wall ya Nnape Nnauye nimekuta amejipachika jina la Nape Nnauye (Mtoto wa Kuli). Kwa kuwa mimi nilipata kumjua vizuri Baba yake, Mzee Moses Nnauye na kazi alizokuwa anafanya nabaki kujiuliza hivi Nape anajua vizuri maana ya neno 'KULI' au analitumia tu kama vile akiamua kujiita 2Pac!
Tumshauri Nape jamani aachane na hilo Jina!
Source:
Welcome to Facebook - Log In, Sign Up or Learn More