everybody
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 337
- 103
Ndugu,
Nimekusoma sana ukitoa comments kuhusu wanachama wanaoikimbia CCM na kuhamia vyama vya upinzani hasa CDM na umediriki hata kuwaita "screpas". Je nini ipi kauli yako kuhusu wale wabunge wa CCM waliosaini petition ya kumng'oa Waziri mkuu? Je hao nao ni "screpas" kwa kwenda kinyume na msimamo wa wabunge wengine wa CCM waliokataa kusign?
Je chama kimewajadili hawa waliosign au mmetambua kwamba ilikua haki yao kusign kama ilivyokua haki ya wanachama wengine wa CCM walioamua kuhama?
Embu tueleze msemaji wa chama tawala please. Unaruhusiwa pia kutoa maoni yako binafsi kama Nape ikiwa hutaki kuongea kama msemaji wa CCM
Nimekusoma sana ukitoa comments kuhusu wanachama wanaoikimbia CCM na kuhamia vyama vya upinzani hasa CDM na umediriki hata kuwaita "screpas". Je nini ipi kauli yako kuhusu wale wabunge wa CCM waliosaini petition ya kumng'oa Waziri mkuu? Je hao nao ni "screpas" kwa kwenda kinyume na msimamo wa wabunge wengine wa CCM waliokataa kusign?
Je chama kimewajadili hawa waliosign au mmetambua kwamba ilikua haki yao kusign kama ilivyokua haki ya wanachama wengine wa CCM walioamua kuhama?
Embu tueleze msemaji wa chama tawala please. Unaruhusiwa pia kutoa maoni yako binafsi kama Nape ikiwa hutaki kuongea kama msemaji wa CCM