kimboka one
JF-Expert Member
- Jan 23, 2010
- 734
- 85
nape live chnl 10,amenishangaza eti amesoma kwa shida,wkt baba yk alikuwa kiongozi tena anasema hajawai kushikwa mkono mtu.wadau kwali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani alifafanua 'shida' maana yake nini? Labda alikua anapigwa below kila leo, nako ni kusoma kwa shida. Sio rahisi kua slow learner jamani!
fikiria uko udsm, halafu unafundishwa na Kadege, CL, kila ukifanya mtihani anakukamata, hapo hujarudi kwa Mwami na SO zake, bado hujaenda kwa Banner na PS zake, kila semister una kuwa na sapp 3, unadhani utasoma kwa raha? Lazima iwe kwa shida. so Nape labda alikuwa hivyo
fikiria uko udsm, halafu unafundishwa na Kadege, CL, kila ukifanya mtihani anakukamata, hapo hujarudi kwa Mwami na SO zake, bado hujaenda kwa Banner na PS zake, kila semister una kuwa na sapp 3, unadhani utasoma kwa raha? Lazima iwe kwa shida. so Nape labda alikuwa hivyo
Kumbe wewe Nguini?naona umeorodhesha masomo ya Nguini....au utakuwa Mwalimu uliyeopt kwenye SO na PS?
Nape alisoma ila hakuelimika ndio maana anashusha credits za babake aliyelipigania hili taifanape live chnl 10,amenishangaza eti amesoma kwa shida,wkt baba yk alikuwa kiongozi tena anasema hajawai kushikwa mkono mtu.wadau kwali?
nape live chnl 10,amenishangaza eti amesoma kwa shida,wkt baba yk alikuwa kiongozi tena anasema hajawai kushikwa mkono mtu.wadau kwali?
Baba yake hakupigania hili taifa,bali alikuwa mwambaji( kwaya ) kama alinyo komba. Mwl.alimpenda sana kwani alikuwa mwamasishaji mzuri ndani ya chama.Nape alisoma ila hakuelimika ndio maana anashusha credits za babake aliyelipigania hili taifa
Baba yake hakupigania hili taifa,bali alikuwa mwambaji( kwaya ) kama alinyo komba. Mwl.alimpenda sana kwani alikuwa mwamasishaji mzuri ndani ya chama.
Kumbe wewe Nguini?naona umeorodhesha masomo ya Nguini....au utakuwa Mwalimu uliyeopt kwenye SO na PS?