Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaona unafiki wowote wa MPENDAZOE kwa maana mtu mnafiki ni yule anayejifanya kuwa na mawazo sawa na aliko ilihari anafanya mambo yanayopingana na alipo. Sasa kama azima ilikuwa ni kuondoka CCM basi Mpendazoe alifanikisha hilo na ana kila sababu ya kupongezwa kwa kuyakimbia maozo ya CCM na kutafuta mahari pa kuweza kutafuta usawa katika kuliendeleza taifa. Huyo Nape ndo mnafiki na ataendelea kuwa mnafiki kwa maana aliyajua yaliyo mabaya ya CCM na akata kuondoka kwa sababu ana uchu wa Madaraka kama walivyosema hapo juu aliamua kubaki humo ndani na huku roho yake ikimsunta kuwa mahari alipo si mahari pema hata kidogo.
Mpendazoe hakuondoka CCJ kwa sababu ya kutapatapa ila kwa hira walizofanyiwa na msajili wa vyama vya siasa anayeongozwa na fikra pungufu na zinazokufa kila kukicha za CCM kwa kukihujumu chama cha CCJ. Sasa kwa mpiganaji kama unaona sehemu moja unayojaribu inashindikana unatafuta another alternative. Upiganaji wa Mpendazoe ndo huo tunaouona wa kuweza kutafuta in anyhow njia ya kuweza kuwatumikia watanzania katika chama chenye mwelekeo wa kulikomboa taifa.
Kwa tafsiri yako ulitaka abaki kwenye chama ambacho Tendwa aliapa na Makamba kwamba hakitaweza kusajiliwa Tanzania. Hiyo ni sawa na mvuvi hodari aliye baharini baada ya dhoruba kutokea na mtumbwi wake kutobolewa kubaki humo eti aoneshe uhodari wake ilihari mtumbwi unazama. Ataonesha uhodari wake kwa kuogelea na kutafuta mitumbwi isiyozama ili aendeleze uhodari wake wa uvuvi. Kabla hajafanya hivyo hufanya awezalo ili auzibe lakini kama haiwezekani huondoka kusalimisha maisha yake na uhodari wake kama alivyofanya Mpendazoe alipopigana kukiokoa CCJ lakini kwa sababu juhudi zake zilishindwa na nguvu ya Dora akaamua kuogelea kutafuta mitumbwi isiyozama ingawa wengine wasiohodari walienda kwenye mitumbwi iiliyotota na ambayo itazama muda si mrefu(Mwenyekiti CCJ= CCM)
wewe mtetezi wake huwezi kuona tatizo sababu wote mnaongozwa na njaa wengine wanaongzwa na nia na dhamira ndio maana Mpendazoe anashangaa nape yule yule leo amegeuka na kuanza kumsifia jk aliyekua anamtukana kwamba hana uwezo wa kuongoza ama baada ya kupewa ukuu wa wilaya tu na kupewa uenezi mara uwezo wa jk umepanda ghafla Biblia inasema heri adui kuliko mnafiki nape ni hatari kwa taifa anaweza kufanya chochote ili apate madaraka, hongera cdm kwa kuzidi kuwaanika hawa wachumia tumbo ili umma uwajue, ndio maana alichukua pesa kwa jeetu patel kwa ajili ya kampeini zake za necKwa hiyo unachotuambia ni nini? Fine alikuwa mwanzilishi wa CCJ then what. Kwa sababu hata yeye alishiriki akiwa bado yuko CCM, je huo siyo unafiki. Kwa nini hakubaki ndani ya CCJ ili aijenge na kuifanya iwe maarufu badala ya kuhamia CDM? Hivi vyama ni kama mitumbwi ya kukuvusha ng'ambo kwa usalama. Lakini lililo la msingi ni kwamba yeye Nape yuko CCM na anatetea sera au misimamo ya chama chake , kama ambavyo na yeye Mpendazoe ana haki ya kutetea sera na misimamo ya Chadema.
Hii siyo contest ya loyalty kwa chama hiki au kile, na ndiyo maana leo tunaona mwanasiasa huyu yuko kule na kesho yuko huku. Hata hiyo loyalty hupimwa wakati ukiwa ndani ya hicho chama na siyo baada ya kuondoka. Je Mpendazoe anataka kutuambia kwamba alipokuwa CCM kwa miaka yote hii hakuwa na loyalty na kwamba jicho lake lilikuwa kwenye upinzani? Naweza kuelewa frustrations za Mpendazoe hasa baada ya vigogo wenzanke kumchuuza ahame na wenzake watamfuata halafu wakamtosa lakini in politics kupima upepo huwa imo. Nani alijua leo hii Ntagazwa angekuwa huko aliko au Dr. Slaa huyu? Katika siasa haya yote hutokea na yanapotokea mtu hutakiwa kila la heri kule aendako na akishindwa na kurudi hasutwi. Waone Makongoro Nyerere, Wasira, Nsazugwanko na hao akina Mpendazoe, Shibuda, Kahigi, Slaa, Ntagazwa na wengine wengi.
Yeye Nape amewaambia kabisa kawaulizeni jinsi kilivyo kufa. Hii statement nayo ni ngumu.Nafikiri alikuwa mamuluki kuwamaliza akina mpandazoe na ccj. Ndo maana amezawadiwa vyeo kwa kazi mzuri.
Hapa Mpendazoe anaongelea unafiki wa wanaojidai wapambanaji na kumkashifi mwenyekiti wao kama Nape na kubakia humo humo, hawa unaowataja kina Mtei, Seif, Marando, Shibuda, Slaa walipotofautiana na CCM kwani walibaki huko? wangebaki huko na wao tungewaita wanafiki kama Nape ndicho anachosema Mpendazoe.- This is very interesting, maana looking at the times lini CCJ ilikufa na lini Nape ameenda kuwa DC Masasi haikubaliani kabisa, however Mpendazoe angeenda mbele zaidi kwamba anamuonaje Marando? Mtei ambaye naye alitokea CCM? anamuonaje Dr. Slaa ambaye naye alitokea CCM na alijitoa tu baada ya kunyimwa nafasi ya kugombea ubunge Karatu? anamuonaje Shibuda? Seif Hamadi? Na yeye mwenyewe anajionaje?
- Point yake ni nini hasa kwamba ni makosa kwa kiongozi kubadili au kutaka kubadili mawazo ya kisiasa? I am lost hapa!, I mean talking about unafiki wa kisiasa? Nani ni mnafiki hapa?
William @ NYC, USA.
Acha hoja za kitoto, ebu nionyeshe hapo alipopewa nafasi ya kuzijibu hizo tuhuma za EPA na Kuomba Kugombea Ubunge kwenye habari hii?
Nilichosema, kuna changamoto nyingi sana zinawazunguka watu wa Mbambabay na mazingira yao,hoja hizo zingezungumza zaidi zingewafanya watu wa Mbambabay walione tumaini la kesho kupitia Chadema, lakin kwa kuipoteza nafasi hiyo kwa kumuongelea CCJ ambaye ata hawamjui ni kitu gani,ni kuipoteza nafasi hiyo muhimu. Ni muhimu sana kuyasoma mazingira ya watu.
Hapa Mpendazoe anaongelea unafiki wa wanaojidai wapambanaji na kumkashifi mwenyekiti wao kama Nape na kubakia humo humo, hawa unaowataja kina Mtei, Seif, Marando, Shibuda, Slaa walipotofautiana na CCM kwani walibaki huko? wangebaki huko na wao tungewaita wanafiki kama Nape ndicho anachosema Mpendazoe.
jamae, nape hayuko peke yake. Mnakumbuka kipindi kile jk anautaka urais? Ccm ilikaribia kuvunjika kwa tetesi kuwa jk angekihama. Hata hivyo si kama namtetea huyu dogo. Nataka kuonyesha unafiki wa siasa. Leo kauli za shitambala mnazisikia? Kauli za tambwe mnazisikia? Kauli za ngawaiya mnazisikia? N.k n.k. Jk alimaliza pale aliposema, akili za kuambiwa... Malizia[/QUOTE]
Changanya na za kwako
haa haa MKuu naona unajitahidi kuwa mtetezi saana wa magamba mapya hongera.- I mean ni Demokrasia at work, tatizo ni kama Mpendazoe kwa kujitoa CCM na kuingia Chadema amevunja sheria ya jamhuri au mnafiki, none ishu kama chama changu naona kinakosa mwelekeo ninayo haki ya kutumia kila njia za kisiasa kutafuta attention ya kusikilizwa na chama changu, kwani CCM haijui waliotaka kuanzisha CCJ?
- National politics ndivyo zinavyochezwa, CCM waliwajua sana wale wote walioshiriki CCJ, lakini inafanyika tathmin ya chama ya kisiasa, kuona umuhimu wao wakiachiwa watoke, chama kinaona haikwezi kua-afford, kwa hiyo wanaitwa na kuulizwa tatizo lao wanasema na sometimes wanapewa nafasi katika chama kurekebisha waanayoona hayafai, that is how national politics is played, Mpendazoe was not a threat to CCM wakamruhusu aondoke na wengine wote walioruhusiwa kuondoka, it has nothing to do na unafiki it is simply how national politics are played!
Es!
kati ya vitu ambavyo haviwezi kuvumilika katika jamii ya waungwana ni usaliti, tuhuma ambazo zimetolewa na fredy mpendazoe za kuwa wewe ni mmoja wa waanzilishi wa ccj ni mbaya mbaya na mbaya zaidi ni kitendo chako cha kudhoofisha chama cha mapinduzi kwa kutoa siri za vikao vya chama, najua mwenyekiti wako atakuita na atakwambia upime mwenyewe uzito wa tuhuma hizi, ila nakushauri kama kijana mwenzetu usisubiri uitwe, uchukue hatua stahiki za kuachia ngazi kwenye nafasi zote za uongozi ndani ya chama.
haa haa MKuu naona unajitahidi kuwa mtetezi saana wa magamba mapya hongera.
lakini tusikimbiane mkuu tena siku zijazo.
Ofcourse it is simply how national politics are played and how people are being fooled.- I mean ni Demokrasia at work, tatizo ni kama Mpendazoe kwa kujitoa CCM na kuingia Chadema amevunja sheria ya jamhuri au mnafiki, none ishu kama chama changu naona kinakosa mwelekeo ninayo haki ya kutumia kila njia za kisiasa kutafuta attention ya kusikilizwa na chama changu, kwani CCM haijui waliotaka kuanzisha CCJ?
- National politics ndivyo zinavyochezwa, CCM waliwajua sana wale wote walioshiriki CCJ, lakini inafanyika tathmin ya chama ya kisiasa, kuona umuhimu wao wakiachiwa watoke, chama kinaona haikwezi kua-afford, kwa hiyo wanaitwa na kuulizwa tatizo lao wanasema na sometimes wanapewa nafasi katika chama kurekebisha waanayoona hayafai, that is how national politics is played, Mpendazoe was not a threat to CCM wakamruhusu aondoke na wengine wote walioruhusiwa kuondoka, it has nothing to do na unafiki it is simply how national politics are played!
Es!