Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwana Butola kama unadhani hii ni strength kwa Nape ni mawazo yako wengine tunaona ni kama kijana kadandia treni kwa mbele, unafikiri ndani ya CCM hakuna watu wanaoweza kusema kama anavyofanya yeye, jibu ni rahisi tu wanajijua madhambi yao hawataki kuanzisha vita vya mawe wakati wao wako kwenye nyumba ya kioo, wamemtanguliza Nape kama kafara wao sasa aangalie watakavyomruka hataamini macho yake. Ni hivi karibuni tu utasikia Nape anavutwa shati na kutulizwa amuulize Magufuri na Tibaijuka, si umesikia kuna vigogo sita waanzilishi wa CCJ ambao bado wako CCM na vyeo vyao sasa unadhani watapenda kutajwa kama alivyotajwa Nape.
Hii publicity ya Nape kama mtu aliyekuwa hajaridhishwa na mambo yalivyokuwa yanaenda ndani ya CCM inampa sasa opportunity nzuri ya kuwafikia wote waliokuwa wamekatishwa tamaa na CCM na ufisadi uliokuwa unaendelea..
Mkuu wala hakuna shida hapo.
Ninachokiona hapa ni Chadema sasa kuanza kucheza ngoma ya Nape na kumpa Nape sifa ya "mpambanaji aliyekuwa hajaridhishwa na mambo yalivyokuwa yanaendelea ndani ya CCM", hii itawapa zaidi hamasa wananchi ya kutaka kumsikiliza zaidi na kumwamini pale anaposema CCM inabadilika na sasa mafisadi hawana nafasi, itamsaidia sana hii publicity kujenga case yake ya CCM mpya iliyojivua gamba.
Hoja hii itawafanya wasio wanaCCM wamwamini zaidi anapozungumzia kubadilika kwa CCM na kuwapa mtazamo wa pili wale waliokuwa wamekatishwa tamaa na CCM kama alivyokuwa yeye sababu ya kurudi kundini.
Hii ni strength kwa Nape na wala sio weakness kama mnavyodhani, hii publicity ya Nape kama mtu aliyekuwa hajaridhishwa na mambo yalivyokuwa yanaenda ndani ya CCM inampa sasa opportunity nzuri ya kuwafikia wote waliokuwa wamekatishwa tamaa na CCM na ufisadi uliokuwa unaendelea.
Chadema walipaswa walione hili kabla majuto hajawa mjukuu.
Kumbe CCM huwa wanafanya madudu kwa makusudi leo ndio umenipa mwanga hata Makamba na Tambwe waliwaweka pale makusudi wakivuruge chama ili waje kujivua gamba, kwa hiyo unataka kusema wamemuweka Nape makusudi akibomoe chama then baadaye waje wajivue gamba jingine if that then it is a good strategy.Mkuu Quinine..
Utaniambia siku moja, ndani ya CCM hii sio issue kwa sababu ata kabla ya kumpa hiyo nafasi waliyajua yote haya, na nje ya CCM hii ni opportunity kwa Nape na CCM, hii ni sawa na kumpatia pasi ndani ya 18, hatari!!
Bwana Butola kama unadhani hii ni strength kwa Nape ni mawazo yako wengine tunaona ni kama kijana kadandia treni kwa mbele, unafikiri ndani ya CCM hakuna watu wanaoweza kusema kama anavyofanya yeye, jibu ni rahisi tu wanajijua madhambi yao hawataki kuanzisha vita vya mawe wakati wao wako kwenye nyumba ya kioo, wamemtanguliza Nape kama kafara wao sasa aangalie watakavyomruka hataamini macho yake. Ni hivi karibuni tu utasikia Nape anavutwa shati na kutulizwa amuulize Magufuri na Tibaijuka, si umesikia kuna vigogo sita waanzilishi wa CCJ ambao bado wako CCM na vyeo vyao sasa unadhani watapenda kutajwa kama alivyotajwa Nape.
Huna lolote, kwani tuhuma za Nape dhidi ya Chadema si alitoa akiwa Singida? Au wananchi wa Singida wameendelea kuliko wa Mbamba Bay? Hakika CCM inaelekea kufa maana ubaguzi na dharau kwa wananchi imeshamiri kiasi hiki.Iwe Mbamba bay au Dar ujumbe umefika na ndio maana wewe uliyepo mjini umepata taarifa hii. Halafu kwamba Nape hakupata nafsai ya kujibu wewe sio mfuatiliaji au unaleta ushabiki. Hivi kuwa CCM akili lazima zihamie tumboni? Siku zenu zinahesabikaHili gazeti mbona halijaibalance hii taarifa?zimewekwa tuhuma za EPA na tuhuma za Nape kugombea Ubunge kupitia Chadema bila kuweka majibu ya Nape kwenye masuala hayo, hii sio sahihi, i guess hili ni la Tanzania Daima hili, gazeti la Uhuru la Chadema.
Kimsingi sioni hoja hapa, CCM inatambua kuwa kuna wanachama wake waliokuwa wamekatishwa tamaa na mwelekeo ya chama chao na ndipo walipokuja sasa na mpango wa kujivua gamba ili kuwarudishia wanachama hawa matumaini mapya na kuwafanya warudi kundini, kwa mantiki hiyo CCM hawana shida na Nape kuwahi kutaka kujitoa na kuanzisha CCJ, sasa pilipili wasiyoila yawawashia nini Chadema? naona Nape anawapa tabu sana.
Lakini lingine...hivi unaenda Mbambabay unaongelea mambo ya Nape na CCJ wakati wananchi unaowaambia ata hawajui kama CCJ ni mdudu au ni mnyama? Huku ni kupoteza nafasi ya kuwaeleza wananchi mambo yanayowahusu wao na maisha yao na namna gani Chadema itayabeba matarajio na changamoto zao kwa kesho bora zaidi.
Only a f**l can belive that ccm has changed namafisadi hawana nafasi,sishangai watu mnapo itetea ccm kwa sababu kuna watu ambao wana direct interest kwenye ccm.Lakini kwa wale tunaotizama kwa jicho la tatu hatuwezi tukakubaliana na hilo.Fisadi gani ambaye hana nafasi ccm.Vinara watatu bado wapo na nafasi yao katika chama kwa sababu bado ni wanachama wa ccm.JK ambaye ndio mlezi wa ufisadi na fisadi (refer list of shame) yupo.Fisadi yupi ambaye hana nafasi sasa.Kawambieni wajinga kwamba mafisadi hawana nafasi ndani ya ccm.Ukiulizwa hata wewe kujivua gamba maana yake ni nini,hakuna lolote waambieni watu ambao hawajaenda shule kama wale wa singida wanaolishwa sumu na akina nape na chillyMkuu wala hakuna shida hapo.
Ninachokiona hapa ni Chadema sasa kuanza kucheza ngoma ya Nape na kumpa Nape sifa ya "mpambanaji aliyekuwa hajaridhishwa na mambo yalivyokuwa yanaendelea ndani ya CCM", hii itawapa zaidi hamasa wananchi ya kutaka kumsikiliza zaidi na kumwamini pale anaposema CCM inabadilika na sasa mafisadi hawana nafasi, itamsaidia sana hii publicity kujenga case yake ya CCM mpya iliyojivua gamba.
Hoja hii itawafanya wasio wanaCCM wamwamini zaidi anapozungumzia kubadilika kwa CCM na kuwapa mtazamo wa pili wale waliokuwa wamekatishwa tamaa na CCM kama alivyokuwa yeye sababu ya kurudi kundini.
Hii ni strength kwa Nape na wala sio weakness kama mnavyodhani, hii publicity ya Nape kama mtu aliyekuwa hajaridhishwa na mambo yalivyokuwa yanaenda ndani ya CCM inampa sasa opportunity nzuri ya kuwafikia wote waliokuwa wamekatishwa tamaa na CCM na ufisadi uliokuwa unaendelea.
Chadema walipaswa walione hili kabla majuto hajawa mjukuu.
Hili gazeti mbona halijaibalance hii taarifa?zimewekwa tuhuma za EPA na tuhuma za Nape kugombea Ubunge kupitia Chadema bila kuweka majibu ya Nape kwenye masuala hayo, hii sio sahihi, i guess hili ni la Tanzania Daima hili, gazeti la Uhuru la Chadema.
.
Mkuu Mbopo kama huoni tatizo wewe utakuwa na tatizo, uaminifu wa Nape kwa chama chake uko wapi mtu anataka kukisaliti chama kabaki huko kwa sababu ya u-DC bado mnaamini kweli ni loyal kwa chama if so then something is wrong somewhere in CCM, kitakuwa ni opportunistic party ndiyo maana kuna siku Prof. Safari na Marando walisema kama ni unafiki Nape ni number one siku ile sikuwaelewa.
nimegundua kwamba anachofanya Nape ni makusudi kabisa kuhakikisha ccm inadhoofika ..... !
Hii hiamaanishi tuwape blank cheque wanasiasa wasaini kiwango wanachotaka. Taifa lipo njia panda kiuchumi na kijamii, ktk mazingira kama haya wanahitajika watu wanaosimamia ukweli daima na sio vigeugeu ambao wanasukumwa na maslahi binafsi. This guy Nnauye IS USELESS..alianza kupigapiga kelele ili 'kilio' chake kisikizwe, sasa ameskizwa na kilio chake kimetambulika ni kilio cha namna gani (tumbo lake).acheni kumsakama Nape....Stephen Wassira alikuwa nani na saivi ni nani? Hizo ni siasa tu na kwenye siasa uadui haudumu