KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Bado na jiuliza hivi huyu mwanasiasa Nape Nnauye ni mahiri kuliko wakongwe aliowakuta ccm??Hivi nikisa gani leo atakuja nacho chakumlipua Dr (Phd) W.Slaa??Dr Slaa nikashifa zipi anazo zitakazo tingisha siasa za dr Slaa??Nimangapi Dr Slaa kayaeleza kwa serikali na wao kukiri nawengine kuwajibika??Mbona hatukuwahi kusikia Bomu la kumuyumbisha??Je leo Nape atakuja na Bomu gani jipya??Hivi anajilinganisha na Dr PhD??
Mimi bado sitaki kuamini maneno yake kwani najua mbio za sakafuni mwishowake huwa ni ukingoni!!Liliopo mbele ya Nape ni juu ya matamshi yake aliyoyatoa ya kuwapa siku 90 Mafisadi wa CCM wawe wamejiuzu nyazifa zao hapo ndo tutajua kweli anayoyasema anaweza kuasimamia!!.
Mimi bado sitaki kuamini maneno yake kwani najua mbio za sakafuni mwishowake huwa ni ukingoni!!Liliopo mbele ya Nape ni juu ya matamshi yake aliyoyatoa ya kuwapa siku 90 Mafisadi wa CCM wawe wamejiuzu nyazifa zao hapo ndo tutajua kweli anayoyasema anaweza kuasimamia!!.