mmanga mswahili
Member
- May 18, 2012
- 30
- 2
ND. NAPE
tukiachia mbali ushabiki wa kisiasa ambao mtu humvutia na kumjaza masifa kiongozi wa chama chake.
mimi si mfuasi wa chama chako bwana NAPE ila nimeku anikikufuatilia harakati zako tofauti na mchango wako katika chama mukiwa nynyi ndio mlieshika dola.
hivi karibuni ulikua nadhiara ya kikazi katika mambo ya vijana maeneo ambayo kumetokea mazishi ya baba wa swhiba wa baba yako mzazi.
mengi yalizushiwa na vijana wanaoutumia mtandao wa JF mengi walikutupia halka dhalika waandishi walivyokufanya katyika makala zao bila ya kutaka ridhaa yako au kuthibitisha hoja zao kwako na mengi mengineyo wengine wamethubutu kukashifu hata elimu yako.
kwa nini nikasema wewe ni kiongozi shujaa?
sababu kila memba JF aliekua ankutupia tuhuma na kashfa, wewe ulitumia busara na kutoa maelekezo
sababu wale waandishi waliozusha juu ya ziara yako uliwasamehe na kuju kuwa hawfahamu nini walitendalo
sababu hukuchua hasira kwa vijana ambao walisema wazi wazi kuwa wao ni CDM na tuhuma zao walizozitoa wewe ulikua ni mvumilivu zaidi.
mwisho kabisa hoja unazozitoa ni zenye mantiki ulizozihakiki na inathibitisha wazi uwezo wako wa akili.
hongera sana NAPE endelea vizuri na shughuli zako mungu atakupa kila la kheri na uwezo wa kuwatambua wabaya wako ili uendelee kuwasamehe na kuwaelimisha pia kukiimarisha chama chako. na mimi nikitimia umri wa kuwa mwanachama nitashawishika kujiunga ijapo kuwa sasa namawazo ya cdm
ahsante
tukiachia mbali ushabiki wa kisiasa ambao mtu humvutia na kumjaza masifa kiongozi wa chama chake.
mimi si mfuasi wa chama chako bwana NAPE ila nimeku anikikufuatilia harakati zako tofauti na mchango wako katika chama mukiwa nynyi ndio mlieshika dola.
hivi karibuni ulikua nadhiara ya kikazi katika mambo ya vijana maeneo ambayo kumetokea mazishi ya baba wa swhiba wa baba yako mzazi.
mengi yalizushiwa na vijana wanaoutumia mtandao wa JF mengi walikutupia halka dhalika waandishi walivyokufanya katyika makala zao bila ya kutaka ridhaa yako au kuthibitisha hoja zao kwako na mengi mengineyo wengine wamethubutu kukashifu hata elimu yako.
kwa nini nikasema wewe ni kiongozi shujaa?
sababu kila memba JF aliekua ankutupia tuhuma na kashfa, wewe ulitumia busara na kutoa maelekezo
sababu wale waandishi waliozusha juu ya ziara yako uliwasamehe na kuju kuwa hawfahamu nini walitendalo
sababu hukuchua hasira kwa vijana ambao walisema wazi wazi kuwa wao ni CDM na tuhuma zao walizozitoa wewe ulikua ni mvumilivu zaidi.
mwisho kabisa hoja unazozitoa ni zenye mantiki ulizozihakiki na inathibitisha wazi uwezo wako wa akili.
hongera sana NAPE endelea vizuri na shughuli zako mungu atakupa kila la kheri na uwezo wa kuwatambua wabaya wako ili uendelee kuwasamehe na kuwaelimisha pia kukiimarisha chama chako. na mimi nikitimia umri wa kuwa mwanachama nitashawishika kujiunga ijapo kuwa sasa namawazo ya cdm
ahsante